Wazanzibar wanaendelea kudai mamlaka kamili ya nchi yao

Wazanzibar wanaendelea kudai mamlaka kamili ya nchi yao

tuonyeshe hizo 10km mnazodanganywa hapo kwenye ramani
10km zipo na usifikiri tutazisamehe Big NO, halafu ndugu yangu kwanza ujuwe inapotokea hivyo ni tayari wale wanaoishi ndani ya zile 10km hawatakuwa tena wakisapoti huko mabondeni,hilo mlijue. Ukiangalia Malawi anachukua Nyasa yote na ukiangalia hadi leo ule mpaka unawekwa rangi nyekundu ukiashiria kuna mtu anamdhulumu mwenzake.
 
Ina maana Tanganyika inatawaliwa na mgeni !.

Nimeamini kweli mbio za mwenge zimetupofusha waTanganyika kiasi hatuoni wala hatuna uchungu na nchi yetu ya maziwa na asali “in Mtikila voice”
Nyie ni watu hamuna msimamo ni watu majoga sana ndio maana Jiwe aliwatekenya sana kwa vidole na mukawa munacheka tu .Hamuwezi kufanya chochote hata baba yetu Nyerere aliwahi kuwambia mutaka ULEVI .NGOMA na WANAWAKE .Hii ndio kazi yenu.Sisi tunaka nchi yetu tunataka visiwa vyetu.
 
Sasa weye unaogopa nini weye huna mdomo wa kubweka kama mbwa koko Watanganyika inafaa mutushukuru sana Wazazinbari kwa luwaletea ustarabu mulikuwa munakwenda uchi na kama huamini muulize babu yako kama unae kwa sababu watoto wa haramu muko wengi sana munazaliwa nje ya ndoa sasa kaulize hilo suala wala sio mbali kabla ya 1964 mulikuwa hali gani wabara ,hao mulokuwa mukivaa nguo basi kaniki ndio nguo zenu nakuoneni vinganganizi tu sisi ndio wabaguzi nyie je waungwana sana ?Wacha tupumue bana tumewachoka sana .Kwa nini Munangangania Zanzibar ?
HIZO "weye" weye mkivunja muungano ndio hatutazisikia tena ili tubaki na kiswahili kizuri cha wanaume, sio weye weye kama wote tunakula orojo hapa.
 
Hilo halina mjadala unakuwa na ndugu alafu anakuwekea guu la shingo tuacheni tupumue,mnaogopa kuchukuwa zile 10km za ukanda wa pwani,maana mnajua kisheria hamtoki. Aafu saivi yupo Samia da tukiikosa chansi hii itabidi tusubirie mwengine akate roho.
Kabisa. Samia asipoleta katiba mpya kwa kipindi hiki chake ni basi tena
 
Hujui kitu, asilimia Watanganyika , Zanzibar ni zaidi ya asilimia Wanzazibari ,Tanganyika.
Mathematically speaking ratio watanganyika/zanzibar >>wazanzibari/tanganyika.
Note >> means FAR GREATER.
Wewe unajua halafu haujaweka figures, sasa hapo unajua nini?

Weka figure kwamba asilimia kadhaa ni watanganyika asilimia kadhaa ni wabara

Ukiishia kusema asilimia! asilimia! bila kuweka figures you got no facts for it.

Watanganyika wanakuja kibiashara tu kuchukua mizigo huko, hawawezi kulowea huko kama wazenji walivyolowea Bara
 
Juzi nimecheka sana,eti Zanzibar inaidai Tanzania bara zaid ya 4Trillion😂😂😂.
Daaah
Wanasahau deni la umeme wanalodaiwa Tanesco!!!
Tutawapigia fidia ya hewa waliyovuta wakiwa bara kwa miaka yote
 
Bahati mbaya Kessy wa Nkasi hayumo humu angewapasha wakajiona kinyesi
 
Naamin historia ya hizi nchi unaijua vzr mkuu.
Wewe mimi Regent nikijiita Lonadi una malaka gani ya kunihoji kkwanini najiita hivyo...wewe mzanzibar umejitoa kwenye muungano mimi nchi yangu naaita TZ wewe inakuwasha nini maana hizi sasa zitakuwa Genye.
 
kila mnawabembeleza wa nini ...wasepe kama wanataka kufanya hivyo watu wanapewa vitu vingi vya bure hee!! wasepe tu
 
Bora wapewe tu hata leo tubaki na Tanzania yetu,waishi kwa permit nchini.
40k petitioners seeking Zanzibar's self determination. It is time for Tanganyikans to seek the same.

Ndugai tusaidie kwenye hili.
 
Waacheni wazanzibar wadai muungano uvunjike, hakuna sababu ya kung'ang'ania huu muungano wa kinafki usio na usawa maana hata kwa kumiliki ardhi wazanzibar wanaruhusiwa kumiliki ardhi Tanganyika lkn mtanganyika huruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar, vilevile wazanzibar wanaruhusiwa kuajiriwa huku Tanganyika lkn mtanganyika huruhusiwi kupata ajira Zanzibar, Bora uvunjike kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
 
Waacheni wazanzibar wadai muungano uvunjike, hakuna sababu ya kung'ang'ania huu muungano wa kinafki usio na usawa maana hata kwa kumiliki ardhi wazanzibar wanaruhusiwa kumiliki ardhi Tanganyika lkn mtanganyika huruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar, vilevile wazanzibar wanaruhusiwa kuajiriwa huku Tanganyika lkn mtanganyika huruhusiwi kupata ajira Zanzibar, Bora uvunjike kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
Sijui tunabembeleza nini!
 
Naona wengi mna mawazo ya kijinga sana. Ati wapewe ina maana kuna kitu mmekichukua au imekaliaje hii ? Navuta harufu ya ukoloni, nilidhani kuna watu wakisema ni ndugu wa damu. Upumbavu mtupu naunga mkono hoja ya kugawana mbawa. Nadhani hatujafikia level ya kimaisha ya deal na masuala ya muungano.
 
Back
Top Bottom