mi nafikiri cha msingi ni kuangalia muundo wa muungano wetu - si kukimbizana baada ya kushi miaka yote hiyo kwa umoja.Bora wasepe.. Wanajiona sana hawa. Ka nchi kenyewe km Wilaya ya chunya. Tokeni mtuachia nchi yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nafikiri cha msingi ni kuangalia muundo wa muungano wetu - si kukimbizana baada ya kushi miaka yote hiyo kwa umoja.Bora wasepe.. Wanajiona sana hawa. Ka nchi kenyewe km Wilaya ya chunya. Tokeni mtuachia nchi yetu
Nyie wazenji wapumbavu sana nchi bila nguvu kazi haiendi kwa hiyo mnataka kua Kama komoro sio acheni uvivu na wivu ndio Mana hamuendelei mtu akiwa na kitu kizuri katupiwe jiniHilo halina mjadala unakuwa na ndugu alafu anakuwekea guu la shingo tuacheni tupumue, mnaogopa kuchukuwa zile 10km za ukanda wa Pwani, maana mnajua kisheria hamtoki. Halafu saivi yupo Samia da tukiikosa chansi hii itabidi tusubirie mwengine akate roho.
Eti after ten years,tutaongia kwa visa kama dubai, Mnadhani ilijengwa kwa ten years sio?Endelea kuota[emoji23][emoji23][emoji23]Wacha ushoga wako Visiwa vina tarekhe yake kwa nani anangania muungano ni Zanzibar au Tanganyika .kabla 1964 Zanzibar ilikuwa inategemea bara .Mimi nataka sasa hivi muungano uvunjike muone baada ya 10 yrs mutaingia kwa viza kama Dubai .Wazanzabari wote hawataki muungano nyie unganeni na Kenya na Uganda au Ruawanda ardhi moja mpk munafanana tu.
Asante brooWewe mimi Regent nikijiita Lonadi una malaka gani ya kunihoji kkwanini najiita hivyo...wewe mzanzibar umejitoa kwenye muungano mimi nchi yangu naaita TZ wewe inakuwasha nini maana hizi sasa zitakuwa Genye.
Hivi kuna sehemu ambayo watu wanapakuana kama huko zenji?Watanganyika muwe na msimamo na mujifahirishe na Tanganyika yenuuuu.Muko hovyo hovyo ndio Meko akawapakua kwa 5 yrs na kumpigia makofiii.
Sasa kip kimekuchekesha wakati wanadai haki yaoJuzi nimecheka sana,eti Zanzibar inaidai Tanzania bara zaid ya 4Trillion😂😂😂.
Daaah
Itabaki kuwa Tanzania hata mkiichukua Zanzibar yenu.Sema Tanganyika yetu na sio Tanzania tena
Waulize wanaozuia ucvunjike ndo utajua km n wilaya y chunyaBora wasepe.. Wanajiona sana hawa. Ka nchi kenyewe km Wilaya ya chunya. Tokeni mtuachia nchi yetu
Kwani kuvunja muungano kutakusaidia nini!?Wewe muungano unakusaidia nini? kwanini isipingwe kura ya maoni?
Huu mchezo hautaki hacra a dadaWana ungese sana hao. Walalamishi km wanawake
Huliamin hiloNao wataishi kwa permit tu,mbona mpaka tumeoa hukoo?
Ishu ni Kwamba ZNZ bado wanaamini tunawanyonya,wao wangekua Kama Dubai sa hivi
Wapo kwao hapoIna maana hawa kina bakharesa watarudi Zanzibar muungano ukivunjika? Niliwahi sikia wawekezaji wengi tu wa bara ni kutoka Zanzibar ni kweli?
Lione ili jinga naloSisi tutabaki na Tanzania wao watabaki na Zanzibar, basi hatuezi badili kitu, wao waende tu
Ww hulijui hilo? waulize mabwana zakoWapewe tu. Wanaringa ka vile wao ndio oksijeni ya TZ
Ukickia uchawi ndo huuHuyu Bwana Ally inatakiwa apewe misukosuko.
Haiwezekani sisi tupiganie Muungano yeye akazanie kuuvunja.
Kila upande una lalamika hivyo bora uvunjweKwani kuvunja muungano kutakusaidia nini!?
Wapewe tu
MnatuwezaUnahisi ikifanyika partition hizo 10KM zitakuwa za Zanzibar Imagine eti wazenji wamekaa Posta eti nchi yetu....kile cha Palestina na Ez ndio kitatokea
Mkuu, mtoto akililia wembe muache, ukimkata atatia akiliwanatakiwa Wazanzibar wawe makini sana katika maamuzi yao wanayotaka kufanya!
kizazi kilichobaki na kinachomiliki nguvu kazi zaidi ni cha miaka ya 70s to 80s hawa hawana uchungu kabisa na Muungano na wangependa ufe hata sasa.
lakini waelewe kuwa wao ndio wanaozaliana sana na kibaya zaidi kutokana na tabia nchi na mabadiliko ya kitekenologia visiwa vyao vinaendelea kwisha na wakirudi huko kote utakuwa mkoa mmoja na wilaya zake!
kwa kifupi tumewachoka mno!