Wazanzibar wanaendelea kudai mamlaka kamili ya nchi yao

Faida gani nyie mlio nayo wakati unajua ilihali nyie ni dependant kwetu kwa kila kitu, hamjui nyie ni wake zetu mnao dai kupewa talaka eboo!

Au hujui ss ni mabahasha zenu tunawapumulia mgongoni [emoji23][emoji1787][emoji23]
 
Shida huyu rais wa dharura nae hajielewi anataka nini kwenye masuala mazima ya kuendesha inchi. Anadai anataka kusimamia kila kitu kwa haki. Sasa hao ndugu zake wanataka haki ya kuuvunja muungano anatakiwa kutoa msimamo mapema asifikiri urais ni kuteua mabalozi na kuuza mahind kenya tu.
 
Bora wasepe.. Wanajiona sana hawa. Ka nchi kenyewe km Wilaya ya chunya. Tokeni mtuachia nchi yetu
Tukisepa tunamchukua na Mama yetu, sasa nyinyi Rais rabda mmuweke Halima Mdee [emoji16][emoji16]
 
[emoji28][emoji28] mnasubiri akate roho mwingine.

#MaendeleoHayanaChama
 
kuna mahusiano makubwa kati ya oman na zanzibar QABOOS alipompindua baba yake alikosa wasomi..akaja zanzibar na kuchukua wale waarab wengi na wapemba akawapa uongozi wa kutawala..so yeah hawa watu wanaamini wakiwa huru na mkoloni tanganyika watakula mema ya oman
 
Wanadhan wazanzibar mambumbumbu km wao hawaelewi kitu
 
Unawashwa ww
 
Wewe mimi Regent nikijiita Lonadi una malaka gani ya kunihoji kkwanini najiita hivyo...wewe mzanzibar umejitoa kwenye muungano mimi nchi yangu naaita TZ wewe inakuwasha nini maana hizi sasa zitakuwa Genye.
Aysee nawaonea huruma sana kw ujinga uliowajaa, maisha mtakua ivo ivo mnaburutwa tu
 
Nyie wazenji wapumbavu sana nchi bila nguvu kazi haiendi kwa hiyo mnataka kua Kama komoro sio acheni uvivu na wivu ndio Mana hamuendelei mtu akiwa na kitu kizuri katupiwe jini
kw akili hizi utaishia kuzaa kharam tuu
 
Watanganyika wanapaswa kuonyesha upendo kwa jirani anayetaka kurudi nyumbani kwao baada ya kututembelea kwa miaka mingi.

We TANGANYIKA USHIKE MKONO WA ZANZIBAR KATIKA KUMSAIDIA KUONDOKA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…