Faida gani nyie mlio nayo wakati unajua ilihali nyie ni dependant kwetu kwa kila kitu, hamjui nyie ni wake zetu mnao dai kupewa talaka eboo!Weye Chiwa mjinga sana Muungano una faida na nyie Watwana wa kitanganyika na sio Wazanzibari na sijui kwa mmekaa kama Wasenge munatutaka kwa nguvu tuwapige nao tunawambia hatutakii bado muna ngangana tu ,ikiwa visiwa vitazama ,vitaliwa na maji weye Tanganyika hututaki msaada wako ss tunataka utu wetu na idintity yetu.Vunja mara kwendeniiii.
Achana na fikra hizi bana,mbona Israel haogopi kuzungukwa na maadui?Tukiiwaachia Zanzibar yote itakuwa kambi ya Magaidi.
Wapo kwao hao
Wana kilometers zao huku upande wa pwani, mtanange utakuwa mkubwa sanaSisi tutabaki na Tanzania wao watabaki na Zanzibar, basi hatuezi badili kitu, wao waende tu
Wakipewa hatutakuwa na Tanzania. Tutabaki na Tanganyika.Bora wapewe tu hata leo tubaki na Tanzania yetu, waishi kwa permit nchini.
Tukisepa tunamchukua na Mama yetu, sasa nyinyi Rais rabda mmuweke Halima Mdee [emoji16][emoji16]Bora wasepe.. Wanajiona sana hawa. Ka nchi kenyewe km Wilaya ya chunya. Tokeni mtuachia nchi yetu
Chunya kwenye dhahabu ulinganishe na urojo.Bora wasepe.. Wanajiona sana hawa. Ka nchi kenyewe km Wilaya ya chunya. Tokeni mtuachia nchi yetu
[emoji28][emoji28] mnasubiri akate roho mwingine.Hilo halina mjadala unakuwa na ndugu alafu anakuwekea guu la shingo tuacheni tupumue, mnaogopa kuchukuwa zile 10km za ukanda wa Pwani, maana mnajua kisheria hamtoki. Halafu saivi yupo Samia da tukiikosa chansi hii itabidi tusubirie mwengine akate roho.
kuna mahusiano makubwa kati ya oman na zanzibar QABOOS alipompindua baba yake alikosa wasomi..akaja zanzibar na kuchukua wale waarab wengi na wapemba akawapa uongozi wa kutawala..so yeah hawa watu wanaamini wakiwa huru na mkoloni tanganyika watakula mema ya omanHivi karibuni yule Sultan Jamshid aliyepinduliwa Zanzibar na akakimbilia Uingreza na kuishi huko kwa miongo mingi, ameondoka huko na familia yake na kusogea karibu na Zanzibar huko Oman!
Je, kuna uhusiano wowote kati ya kusogea kwake na chokochoko hizi tunazoanza kuziona za Wazanzibari kutaka kuvunja muungano?
ah ah ah uhaini huuHuyu Bwana Ally inatakiwa apewe misukosuko.
Haiwezekani sisi tupiganie Muungano yeye akazanie kuuvunja.
Wanadhan wazanzibar mambumbumbu km wao hawaelewi kitu10km zipo na usifikiri tutazisamehe Big NO, halafu ndugu yangu kwanza ujuwe inapotokea hivyo ni tayari wale wanaoishi ndani ya zile 10km hawatakuwa tena wakisapoti huko mabondeni,hilo mlijue. Ukiangalia Malawi anachukua Nyasa yote na ukiangalia hadi leo ule mpaka unawekwa rangi nyekundu ukiashiria kuna mtu anamdhulumu mwenzake.
Unawashwa wwPimbi hawa umeme wanatumia wetu alafu bado wanalalama kama wanawake sasa muungano uvunjia alafu tuwe kama Israeli na Pakistan tutawatawala maana nyie ni kama sisiminzi alfu ni masikini sana mtatukumbuka hapo pesa sh 100 ya tanganyika itakua 1000000 ya zanzibar
Aysee nawaonea huruma sana kw ujinga uliowajaa, maisha mtakua ivo ivo mnaburutwa tuWewe mimi Regent nikijiita Lonadi una malaka gani ya kunihoji kkwanini najiita hivyo...wewe mzanzibar umejitoa kwenye muungano mimi nchi yangu naaita TZ wewe inakuwasha nini maana hizi sasa zitakuwa Genye.
Wakisha pewa zanzibar yao kisha zitafuata pemba nao wadai pemba yao na unguja u unguja wao...
kw akili hizi utaishia kuzaa kharam tuuNyie wazenji wapumbavu sana nchi bila nguvu kazi haiendi kwa hiyo mnataka kua Kama komoro sio acheni uvivu na wivu ndio Mana hamuendelei mtu akiwa na kitu kizuri katupiwe jini
Kwaiyo bara nyote mashoga?Hivi kuna sehemu ambayo watu wanapakuana kama huko zenji?
Bila Zanzibar Tanzania itaendelea kuwepo. Siijui Tanganyika.... bila Zanzibar hakuna Tanzania!