Wazanzibar wanaendelea kudai mamlaka kamili ya nchi yao

Wazanzibar wanaendelea kudai mamlaka kamili ya nchi yao

Hahahaha....nyie waTZ !! Mnachekesha sana..
Kwanini haya yote????
Uhuru na Amani tuutunze na kuukumbatia...
Huu utajiri mkubwaaaa!
 
Bora wapewe tu hata leo tubaki na Tanzania yetu, waishi kwa permit nchini.
Akili unazo wewe? 1-1 jawabu ni 1??
Ukiitoa ZANZIBAR katika Tanzania utabakiwa vipi na Tanzania??
Tanzania - ZANZIBAR = Tanganyika

Sijui umenisoma?
 
Mkuu, mtoto akililia wembe muache, ukimkata atatia akili
ha..ha..haa....nikweli tabu inakuja anajikata wapi akiwa wa kike anaweza kujikata kwa bibi ukaambiwa umemfanyia tohara! kumbe kajikata mwenyewe!
 
Weye Chiwa mjinga sana Muungano una faida na nyie Watwana wa kitanganyika na sio Wazanzibari na sijui kwa mmekaa kama Wasenge munatutaka kwa nguvu tuwapige nao tunawambia hatutakii bado muna ngangana tu ,ikiwa visiwa vitazama ,vitaliwa na maji weye Tanganyika hututaki msaada wako ss tunataka utu wetu na idintity yetu.Vunja mara kwendeniiii.
utumwa kazi! hivi wewe ni wa kuwaambia watanganyika Wasenge! kweli? wakati huku ndio kwenu? kizazi chako kilienda huko kama watumwa tu na si vinginevyo. hivyo nyinyi ni wa kutawaliwa tu! mwenye asili yake aliuwawa ndio mwenye sehemu ya jina la zanzibar.
mliobaki ni machotara wa kitumwa na kitwana kizazi kilichokataliwa kisichokamilika kwao!
 
Yaani mnataka Fundi Wa Mpira nchini "Fei toto" awe ni mchezaji Wa kulipwa anayechezea timu kubwa kuliko zote nchini " timu ya wananchi" toka nchi nyingine? Sikubaliani nalo!
 
Hebu muacheni mzee wa watu ajipumzikie huko Oman bila ya kumuingiza kwenye matatizo. Mzee mwenyewe ana miaka 91 tayari amependelewa sana na Mungu kwa umri, unadhani anawaza kuja kutawala kisiwa chenye njaa tupu!

Ukoo wao hawapo? Watoto na wajukuu bado wana ndoto hizo na hao wengine ndio hao walio sign petition!!
 
Wangekua wanaonyesha kwa vitendo kukataa teuzi za huku bara,wanadai mamlaka kamili lakini wakipewa teuzi huku bara hawakatai.
 
utumwa kazi! hivi wewe ni wa kuwaambia watanganyika Wasenge! kweli? wakati huku ndio kwenu? kizazi chako kilienda huko kama watumwa tu na si vinginevyo. hivyo nyinyi ni wa kutawaliwa tu! mwenye asili yake aliuwawa ndio mwenye sehemu ya jina la zanzibar.
mliobaki ni machotara wa kitumwa na kitwana kizazi kilichokataliwa kisichokamilika kwao!
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]

[emoji120][emoji120][emoji120] fact

Ova
 
Ni heri hata leo wapewe nchi yao watu wanashindwa kulipa hata deni la umeme kila mara linafutwa. Nashauri UN waseme kweli wameona makosa kila nchi iende kivyake full stop nitafanya sherehe. Si wana mafuta basi wachimbe wajipake
 
Kwani wakijitenga tunapungukiwa Nini? Ulishaona muungano wa watu laki 5 kwa milioni 60?

Wapewe kabisa
 
Back
Top Bottom