Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

Kwa utafiti upi?!

sometime kama huna cha kuandika tulia mzee ,"waungwana hawapendi kelele"

Ngoja nikupatie jawabu ambalo litaendana na hii thread yako dhaifu ya ku attack watu lakini utalielewa

Ukifuatilia

utamaduni wa wazanzibar umefungamana na matendo mengi ya dini ya uislam

Hivyo katika dini hiyo imefundisha pia namna ya maumbile ya vichwa na faida zake ikiwa Chogo inaaminika kua hujaa ufaham wa hali ya juu kuliko vichwa vengine

Hivi ndivyo wazanzibar wanavyofahamu

Na wenyewe watakujibu hapa

Lakini kuhusu kuitana vichogo hiyo ni physical identity tu

Kwan na hao wazanzibar si wanaitwa wanywa urojo?!


Sent from my SH-01G using JamiiForums mobile app
 
NA MNYAMWEZI HANA AKILI ZAIDI YA KUNYWA POMBE,RUSHWA NA KUBEBWA TU KATIKA ELIMU YA JUU
Wanabebwaje?leta ushuhuda zaidi huna hoja..acheni kuminya vichwa watoto mnatengeneza jamii ya vilaza including you.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa tafsiri sahihi ya neno kafiri.
Ni kwamba Wanzanzibar karibu 97 ni makafiri wewe ukiwemo.
Sema kwa tafsiri mlizomezeshwa madrasa kwa ustadh Jumaa basi sisi ni makafiri
Alafu hayo maustadhi yanayowanyweshwa watoto sumu unakuta ata hayajasoma yamezoea kudanganya watu Mara msitumie mafuta ya kula kisa eti ukiyamwaga kwenye majani, majani yanakauka!upuuzi wa namna gani huo??mwenzako kaumiza kichwa hadi kapata namna ya kutengeneza hayo mafuta wewe bila kufanya hata research unaanza kudanganya watu!! hujuhi ata weyee ukimng'ata nyoka nae anakufa?? unajua maana ya chemical reaction kwenye hayo majani??
 
Wananiboa sana watu wanaotoa darasa la uhuni na uongo kuhusu afya ili wauze mitishamba yao.
 
Mbona kwenye mambo mengine kama siasa na biashara wanakuwa na akili sana?
Mwanasiasa gani wa kutoka Zanzibar ana akili? Juma Duni Haji? Au Maalim aliekuwa na misheni yake rahisi tu ya kuvunja Muungano!?
 
Nadharia yako ni ya kijinga na kishamba sana,unawaza unachoona kimetokea makalioni kwako ndiyo unasema,hao watu ndivyo walivyo,kila eneo la asili yake,wamezaliwa kwa kuoleana sana,na wasomali kupata ile mizigo wanafanyaje au wahaya na wanyakyusa?acha ulofalofa.
 
Unamsingizia,Bob hajasema Emancipate "yourself"alisema "Emancipate yourselves from mental slavery"na wewe ndiyo unaonekana una"mental slavery"kwa kudhani kuwa DNA ya wazanzibari inafanana na yako ya kitindiga,majority ya wazenji wamechukua DNA ya kiarabu kwakuwa kwa adilimia kubwa damu yao ina mchanganyiko wa waarabu zaidi,hata ukiumia,huo ndiyo ukweli kwakuwa waarabu waliwaingilia wamakonde na wanyamwezi zaidi na kuwazalisha watoto wenye mchanganyiko wao kuliko watindiga wenzako kuzalisha waarabu,usipachike hisia zao.
"Emancipate yourself from mental slavery"
Bob Marley

Alituasa Sana Bob.
 
Naona shoga una watetea ma bwana zako waarabu..acheni kuminya visogo watoto..uonaona sasa jinsi ulivyo kilaza hata hoja una zaidi ya kuwatetea madanga yako ya kiarabu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona shoga una watetea ma bwana zako waarabu..acheni kuminya visogo watoto..uonaona sasa jinsi ulivyo kilaza hata hoja una zaidi ya kuwatetea madanga yako ya kiarabu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kaishia kuchanganya mada yaani haeleweki hawa watu wameharibu saana watoto wao.
Huyo mwarabu mwenyewe aminyi visogo watoto wake ila huyu mmatumbi aliepelekwa utumwani huko Zanzibar anataka kubana watoto visogo ili wafanane vichwa na Mwarabu anaukana uafrika.

Inasikitisha saana.
 
Akinae vuwai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…