Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

[emoji23][emoji23]kuumbe ndo sababu!! Sasa kuna huyo mmoja tulikuwa tunamcheka kichwa chake, akatudanganya eti "oh mie akati mdogo tulikuwa tunasafiri tulitaka kupata ajali kwenye treni mama akanirusha dirishani ndio maana kichwa kipo hivi[emoji23]
 
Mimi mwenyewe. Daktari.
Mh! Utakuwa Dr Mwaka au Kihiyo. Alokudanganya akili inakaa kisogoni kakupoteza kabisa. Hata Google tu kuna details zote kuhusu ubongo na sehemu zake. Siku hizi wanaodanganywa ni wavivu tu.
Mwenyewe nikienda hospitali, kwanza kabla ya uamuzi wa kwenda hospitali nakuwa nimeshajiandaa nimefanya search ya kutosha kwa ajili ya kufanya meaningful conversation na daktari wangu. Na chochote atakachosema ambacho sikukiona katika search yangu, nikitoka hapo ofisini kwake narudia search kwa terminology zote mpya atakazoniambia. Information is power. Hatudanganyiki siku hizi.
 
Mh! Utakuwa Dr Mwaka au Kihiyo. Alokudanganya akili inakaa kisogoni kakupoteza kabisa. Hata Google tu kuna details zote kuhusu ubongo na sehemu zake. Siku hizi wanaodanganywa ni wavivu tu.
Mwenyewe nikienda hospitali, kwanza kabla ya uamuzi wa kwenda hospitali nakuwa nimeshajiandaa nimefanya search ya kutosha kwa ajili ya kufanya meaningful conversation na daktari wangu. Na chochote atakachosema ambacho sikukiona katika search yangu, nikitoka hapo ofisini kwake narudia search kwa terminology zote mpya atakazoniambia. Information is power. Hatudanganyiki siku hizi.
Uki google brain parts and functions, unapata hit ya kwanza hii hapa:
Image result for parts of the brain and functions

Image result for parts of the brain and functions

Image result for parts of the brain and functions

View all


  • The cerebrum. The cerebrum, the large, outer part of the brain, controls reading, thinking, learning, speech, emotions and planned muscle movements like walking. ...
  • The cerebellum. The cerebellum, in the back of the brain, controls balance, coordination and fine muscle control (e.g., walking). ...
  • The brain stem.
ENDELEA KUDANGANYA MALOFA WENZIO KUWA AKILI IKO KWENYE CHOGO!
 
Mod huu uzi ni wa historia kweli ? Umekalia kama stereo typing. Hebu tueleze umefanya utafiti gani ukagundua watoto wangapi wamebonyezwa vichwa ? Na wangapi hawajabonyezwa kichwa ? Na vipi uligundua kama hao uliowaona hawana akili imetokana na malezi na sio ugonjwa wa mtu kuzaliwa.

Halafu ukafanyie bara pia utuelezee kama kule inaonekana wagonjwa wa akili kidogo. Tuache story za kipuuzi.
 
Wengine Ni naturally wamezaliwa hivyo ila wengine Kama wa Zanzibar Ni kubinywa na wazazi wao baada tu ya kuzaliwa.
Hakuna wazanzibar wanaozaliwa na kubinywa vichwa hata mmoja uo ni uzushi tu mtoa mada hana la kusema tu akatafute nauli akawatembelee wazee kijijini kwao naona ni mda mrefu sasa tangu umeondoka kuja Dar.
 
Hakuna wazanzibar wanaozaliwa na kubinywa vichwa hata mmoja uo ni uzushi tu mtoa mada hana la kusema tu akatafute nauli akawatembelee wazee kijijini kwao naona ni mda mrefu sasa tangu umeondoka kuja Dar.
Unabisha suala hili kweli? Utakuwa ndugu yetu Mzanzibari. Acheni hiyo tabia.
 
Hizi tuhuma ni nzito Sana kwa mustakabali wa muungano
 
Kama ni kweli hatari sana! Na ujinga wa kiwango cha kutisha..Yan unahatarisha ubongo wa mtoto kisa kibagalashee!
 
Wachina ndio asili yao hivyo..sasa hawa wamanyema watumwa wa waarabu wenye chogo toka kitambo..wanaminya watoto makusudi ili wawe na vichwa kama dumu eti wapendeze wakivaa baragashia..kumbe wanaminya ubongo na kuua nerves za ubongo ambazo ni none generative..zikifa zimekufa..ndio mana wengi ni zero brain.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii imeeleweka au bado niongezee nyama nyama tena kwenye thread? [emoji41]
 
Back
Top Bottom