Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Watu wenye visogo Wana akili Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TumekumbukwaWatu wenye visogo Wana akili Sana
Sio kweli....nimesoma nao chuo walikua wanatuongoza mwanzo mwishoVisiwani wana low IQ
Acha uongo inakuwaje watu wote wazaliwe na vichwa flat?Hakuna wazanzibar wanaozaliwa na kubinywa vichwa hata mmoja uo ni uzushi tu mtoa mada hana la kusema tu akatafute nauli akawatembelee wazee kijijini kwao naona ni mda mrefu sasa tangu umeondoka kuja Dar.
Labda chuo cha vilaza..tangu lini mla ulojo akawa na akili.Sio kweli....nimesoma nao chuo walikua wanatuongoza mwanzo mwisho
Acha dharau mkuu, hakunaga chuo cha vilaza......alafu isitoshe kozi ilikua na students waliopata Div1 tuLabda chuo cha vilaza..tangu lini mla ulojo akawa na akili.
#MaendeleoHayanaChama
Hizo ni hearsay tu hakuna atakayekuamini..facts ni kwamba angalia tu matokeo ya darasa la saba na form 4 ndio utajua vilaza wako wapi?Acha dharau mkuu, hakunaga chuo cha vilaza......alafu isitoshe kozi ilikua na students waliopata Div1 tu
Labda useme wengi wao hawako interested na so-called "Elimu ya dunia/kikafiri", focus kubwa kwao ni elimu ya diniHizo ni hearsay tu hakuna atakayekuamini..facts ni kwamba angalia tu matokeo ya darasa la saba na form 4 ndio utajua vilaza wako wapi?
#MaendeleoHayanaChama
Hata hiyo elimu ya Dini hawana... Yaani hamna chochote mwaka huu kwenye mashindano ya kuifadhi Quran pale Dar wametandikwa na machogo balaa wa West Africa balaa.Labda useme wengi wao hawako interested na so-called "Elimu ya dunia/kikafiri", focus kubwa kwao ni elimu ya dini
Lakini ndo watawala bara na visiwani.Ndo maana hata kwenye mitihani ya kitaifa yanakuwa ya mwisho mwisho
umenichekesha hasaMoja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturi sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.
Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.
Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.
Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.
Acheni hili!
View attachment 1790630
View attachment 1790626
ha ha haHayupo hata waliozaliwa Dar pale Kigamboni.