Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti hukubali
Hiyo ni mila ungezaliwa huko ungefungwa kamba ikakazwa haswa mpaka unalia wakati unakuwa [emoji23][emoji23]
Kweli kuna makabila wanapitia mengi sana hadi huruma
Hao jamaa ni washapu, yaani walijuaje fuvu la mtoto huwa liko rojo rojo akiwa mchanga, sasa tabia yao wanali mould kama chungu, hehehe. Ukija kubalehe kitu kimekita tisti kuelekea hukooo... 😂 😂 😂 Wamenikumbusha "The gads must be crazy" 🤔😁
 
Na vibolo vya vichanga huwa wanavivuta au wanavimininya kwa sababu zao zisizoeleweka?
 
Duh! Kumbe wanafanya makusudi? 😳
Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturi sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.

Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.

Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.

Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.

Acheni hili!

View attachment 1790630
View attachment 1790626
 
Ndio maana mengi mpka mkuu
Wao ni matahira
Inferiority inawasumbua colonial master wao (muarabu) kawaharibu
 
Bora niwe Mmasai sasa, nikaue Simba *****!![emoji51][emoji23][emoji1787]

Weeee huko ndio balaa yaani mpaka ukate Balls za Simba ndio uoe
Hapo nitoe buriani kabla au RIP in advance

Nimejifunza na kuona makabila mengi na mila zao ila kiboko yao ni kabila moja huko Ethiopia ambapo wavulana wanachuma fimbo za uhakika na kunakuwa na Sherehe ya kutafuta wake

Wasichana wanajipanga na kuanza kuchapwa mpaka ngozi ya mgongo inapasuka
Mvumilivu ndio anaolewa Eti atavumilia maisha ya kila aina


Picha sio nzuri zingine zinasikitisha sana
Kuna wengine wamekimbia mila zao
Vipi huko unaonaje badala ya kuliwa na Mnyama?
[emoji31][emoji31]
 
Bora niwe Mmasai sasa, nikaue Simba *****!![emoji51][emoji23][emoji1787]

IMG_1090.jpg
 
nilikuwa najiuliza kwanini wazanzibar wanaokuja ofisini hawana machogo ,
 
Usishangaa ndio maana wengi e wao vilaza

Kaangalie matokeo ya form 4 na form six utaelewa

Angalia jinsi wanavyoburuzwa na watanganyika kwenye muungano .

[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom