Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mtoto wa Igombe ntafute ntakuminya Mimi bure. [emoji41]
Natania [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wazenj wanapenda kula vitu vyenye ndimu nyingi na uchachu uchachu.naongeza na hili wanapenda kula urojo na vitu vitamu vitamu .
We ni mzanzibari? Wanawake wanavaa balakashia?Mbona mimia sina kisogo na sikuminywa jamani
Unajua kuna kichogo na kisogo. Sasa labda wao wanazungumzia kichogo ila kisogo hapana.... Kisogo kinakiwa ni nyongeza ya urefu kanakuwa hakana ncha kali ila kanatokelezea.Hawa ndugu ukiwa na kisogo wanakuona Kama huna mapengo hivi. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Namaanisha sio wazanzibar peke yaohata bara kuna watu hawana vichogoWe ni mzanzibari? Wanawake wanavaa balakashia?
🤪Mambo ya genetics tu hayo
Linakuja na hata wao wanazaliwa nayo, ila wanayabinya. Matokeo yake watoto wanakosa akiliKwani hilo chogo linakuja lenyewe ama ni kwa sababu halijabonyezwa?
Kwa tafsiri sahihi ya neno kafiri.M.a.k.a.f.i.r.i mnatabu sana kwa waislamu
Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao
Hiki mnachokijadili si tu kwa wazanzibari, bali mnawalenga waislamu wote wa Tanzania.