Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

M.a.k.a.f.i.r.i mnatabu sana kwa waislamu

Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao

Hiki mnachokijadili si tu kwa wazanzibari, bali mnawalenga waislamu wote wa Tanzania.
Wote nyie mnaoamini katika Dini ndio mnaofuata mayahudi na makristo.
Kwanza tujadili tatizo la kusiginana visogo.
 
Kwa tafsiri sahihi ya neno kafiri.
Ni kwamba Wanzanzibar karibu 97 ni makafiri wewe ukiwemo.
Sema kwa tafsiri mlizomezeshwa madrasa kwa ustadh Jumaa basi sisi ni makafiri

Hujui maana ya neno "kafiri" niulize nitakupa maana
 
Hiki mnachokijadili si tu kwa wazanzibari, bali mnawalenga waislamu wote wa Tanzania.
Mkuu unatuchonganisha na mtoa mada ili na sisi waislamu tununue ugomvi.

Sio sawa.

Ondoa ile mentality ya kwamba akisemwa mzanzibar basi wanasemwa waislamu

Kama hili la visogo mtoa mada naona katoa hisia zake tu lakini haina maana kuwa katugusa waislamu wote.

Huyu kawagusa wazenji tu.

Naomba kuwasilisha
 
Mkuu unatuchonganisha na mtoa mada ili na sisi waislamu tununue ugomvi.

Sio sawa.

Ondoa ile mentality ya kwamba akisemwa mzanzibar basi wanasemwa waislamu

Kama hili la visogo mtoa mada naona katoa hisia zake tu lakini haina maana kuwa katugusa waislamu wote.

Huyu kawagusa wazenji tu.

Naomba kuwasilisha
Mkuu! Umetumia akili saana.
 
Mimi sio mzanzibari mkuu. Poa mkuu.. kama nimekukwaza nisamehe!


Kafiri=Hakika wale wanao mkataa Mwenyezi Mungu na Mitume wake, na wanataka kufarikisha baina ya Mwenyezi Mungu na Mitume wake, kwa kusema: “Wengine tunawaamini na wengine tunawakataa.” Na wanataka kushika njia iliyo kati kati ya haya. - Hao ndio makafiri kweli. Na tumewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha” (an-Nisa, 4/150 151).

Na sio tusi mkuu[emoji1369]
Achana na mambo ya Dini. Changia mada ya machogo mkuu.
 
Wanafanya ujinga saana. Hawajui wanawaharibu watoto wao. Ndio maana kila mwaka shule zao zinashika mkia.
nafkiria unaongea kwa hisia sana,kila sehem watu wanazaliwa kutokana na maumbile yao ,asilimia kubwa ya wazanzibar wanazaliwa wakiwa hawana vichogo ila kwa watu wa bara wnazaliwa wakiwa na vichogo ,zamani ukiwa ukitaka kumtofautisha mtu wa bara na zanzibar basi kwanza ulikua unaangalia vichogo! kwa wanawake wanawake wa bara lazima wawe na viuno vikubwa kuliko wa zanzibar sasa hii ndio tuseme wanawake wa zanzibar wanminywa viuno ama vipi!

kisarawe kulikua na kampeni ya kuondo sifuri darasani inakuaje hii! vipi katika matokea ya vyuo unaangalia lkn wazanzibar wantoboaje ? wacha ubaguzi uo ,unachuki sana na wazanzibar si ndio ?
 
Wewe ndio huelewi ukweli wa mambo, kwani watu wa Zanzibar origin yao ni wapi!? Mpka useme zamani watu wa bara walikuwa na machogo tofauti na wa wa zenji!?



nafkiria unaongea kwa hisia sana,kila sehem watu wanazaliwa kutokana na maumbile yao ,asilimia kubwa ya wazanzibar wanazaliwa wakiwa hawana vichogo ila kwa watu wa bara wnazaliwa wakiwa na vichogo ,zamani ukiwa ukitaka kumtofautisha mtu wa bara na zanzibar basi kwanza ulikua unaangalia vichogo! kwa wanawake wanawake wa bara lazima wawe na viuno vikubwa kuliko wa zanzibar sasa hii ndio tuseme wanawake wa zanzibar wanminywa viuno ama vipi!

kisarawe kulikua na kampeni ya kuondo sifuri darasani inakuaje hii! vipi katika matokea ya vyuo unaangalia lkn wazanzibar wantoboaje ? wacha ubaguzi uo ,unachuki sana na wazanzibar si ndio ?
 
nafkiria unaongea kwa hisia sana,kila sehem watu wanazaliwa kutokana na maumbile yao ,asilimia kubwa ya wazanzibar wanazaliwa wakiwa hawana vichogo ila kwa watu wa bara wnazaliwa wakiwa na vichogo ,zamani ukiwa ukitaka kumtofautisha mtu wa bara na zanzibar basi kwanza ulikua unaangalia vichogo! kwa wanawake wanawake wa bara lazima wawe na viuno vikubwa kuliko wa zanzibar sasa hii ndio tuseme wanawake wa zanzibar wanminywa viuno ama vipi!

kisarawe kulikua na kampeni ya kuondo sifuri darasani inakuaje hii! vipi katika matokea ya vyuo unaangalia lkn wazanzibar wantoboaje ? wacha ubaguzi uo ,unachuki sana na wazanzibar si ndio ?
Wewe ndio unaleta chuki.. Cha msingi acheni kuwaminya watoto vichogo vina distort their sense of judgement and mental health wanakuwa mazezeta zezeta.

Sababu ya zero kisarawe Ni nyingine ... Kisarawe wanapenda kuolewa mapema na ngono zembe. Zanzibar hakuna ngono zembe.

Tatizo la Zanzibar academically ni kuminyana vichogo ila kisarawe Ni ngono zembe.
 
Wewe ndio unaleta chuki.. Cha msingi acheni kuwaminya watoto vichogo vina distort their sense of judgement and mental health wanakuwa mazezeta zezeta.

Sababu ya zero kisarawe Ni nyingine ... Kisarawe wanapenda kuolewa mapema na ngono zembe. Zanzibar hakuna ngono zembe.

Tatizo la Zanzibar academically ni kuminyana vichogo ila kisarawe Ni ngono zembe.
Bora u mweleze huyo aliyeminywa kichwa..hana akili hawezi hata kuchambua mambo kwa ufasaha..mentally corrupted eti kisa bharagashia iwapendeze..kweli dini ni use...

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23]
Na hawa pia wanawafunga watoto kamba mpaka Chogo linarefuka
Sasa sijui nao huwa wana akili zaidi
View attachment 1790832
Mtoto anafanywa Homo Pithecus bila kupenda... Ka mi sikubali, sio kwa chogo hilo! 🤣
Waafrika tulishaanza kuwa creative toka kitambo kumbe, tunatengeza wachina yaani, ukiwa mkubwa tofauti yako na mchinku inakuwa Chogo na weusi tu, kwingine copyright dadeq! 🤣 🤣🤣
 
Kwahiyo vichogo chemba ni Wabantu, na vichwa bapa kama vimepigwa pasi ni Wamanga? Basi wangewabinya mapua watoto na kuwapiga nyundo kama vinyago ili waonekane kama Wamanga
 
Mtoto anafanywa Homo Pithecus bila kupenda... Ka mi sikubali, sio kwa chogo hilo! [emoji1787]
Waafrika tulishaanza kuwa creative toka kitambo kumbe, tunatengeza wachina yaani, ukiwa mkubwa tofauti yako na mchinku inakuwa Chogo na weusi tu, kwingine copyright dadeq! [emoji1787] [emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti hukubali
Hiyo ni mila ungezaliwa huko ungefungwa kamba ikakazwa haswa mpaka unalia wakati unakuwa [emoji23][emoji23]
Kweli kuna makabila wanapitia mengi sana hadi huruma
 
Back
Top Bottom