Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanafanya ujinga saana. Hawajui wanawaharibu watoto wao. Ndio maana kila mwaka shule zao zinashika mkia.
Kuna wa Ndembele wa SA na wa Kayan wa Myanmar, huwa wanavishwa copper au brass neck rings Ili shingo ziwe ndefu kama twiga! 🤣 🤣 🤣Hahaha hawa watu pwani hawa,kule mtwara kuna namba wanawaminya makalio watoto wakike,ili wawe na figure za kuvutia
Mambo ya pwani kawaida kuwa matamu!naongeza na hili wanapenda kula urojo na vitu vitamu vitamu .
ndio maana kule mazuzu ni wengi, na watoto wanafeli sana masomo kwasababu ubongo wao umetingishwa.ndio wanashika mkia kila mwaka matokeo ya shule tz.Moja kwa moja kwenye point... Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna distur sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.
Mike mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.
Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point Ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive saana ila Mzanzibari anapabonyeza Hadi mwisho.
Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.
Acheni hili! View attachment 1790630
View attachment 1790626
Umekasirika Mzanzibari.... Nyie Ni ndugu zetu lazma tuwashauri mazuri. [emoji1787]Ungeanza kuwashauri Wazaramu na watu wa Tanga kwanza kabla ya kushauri wazanzibari. Mtizame vile chogo kama spika ya Nyerere[emoji1787][emoji1787]
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Religious fanatics wanashida sana.