Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

Mtoto akiwa bado mchanga fuvu lake (skull) huwa bado halijakomaa ,,maana zile "sutures"( mipaka katika fuvu) huwa bado hazijafunga.

Hivyo basi endapo kachanga hako katalazwa kwenye "hard material or surface" shape ya kichwa chake itabadilika.

Sasa endapo mtoto huyo ataendelea kulazwa kichwa chake kwenye sehemu ngumu kwa muda mrefu, ukuaji wa fuvu kwa nyuma utakuwa umeminywa na kupelekea kichwa kuwa flat. Ikumbukwe ubongo na mwili wa mtoto huyu bado unakua kulingana na vinasaba vyake na lishe anayopata..

Hivyo basi, madhara ya kutumia mbinu hii ya KIJINGA KABISA for the sake of kuvaa "balakashia" au kuwa kama na vichwa vya duara vya their colonial masters ( waarabu ambao ndio walioleta dhana ya kunyanyapaa watu weusi wenye chogo) ni hatari kwa afya na ukuaji wa watoto hao na ustawi wa taifa kwa ujumla wake.
images%20(8).jpeg
 
Ungeanza kuwashauri Wazaramu na watu wa Tanga kwanza kabla ya kushauri wazanzibari. Mtizame vile chogo kama spika ya Nyerere[emoji1787][emoji1787]



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Wazaramo wamefanyaje?
 
Mtoto akiwa bado mchanga fuvu lake (skull) huwa bado halijakomaa ,,maana zile "sutures"( mipaka katika fuvu) huwa bado hazijafunga.

Hivyo basi endapo kachanga hako katalazwa kwenye "hard material or surface" shape ya kichwa chake itabadilika.

Sasa endapo mtoto huyo ataendelea kulazwa kichwa chake kwenye sehemu ngumu kwa muda mrefu, ukuaji wa fuvu kwa nyuma utakuwa umeminywa na kupelekea kichwa kuwa flat. Ikumbukwe ubongo na mwili wa mtoto huyu bado unakua kulingana na vinasaba vyake na lishe anayopata..

Hivyo basi, madhara ya kutumia mbinu hii ya KIJINGA KABISA for the sake of kuvaa "balakashia" au kuwa kama na vichwa vya duara vya their colonial masters ( waarabu ambao ndio walioleta dhana ya kunyanyapaa watu weusi wenye chogo) ni hatari kwa afya na ukuaji wa watoto hao na ustawi wa taifa kwa ujumla wake.View attachment 1790803
"Emancipate yourself from mental slavery"
Bob Marley

Alituasa Sana Bob.
 
Me navyojua ulalaji mbaya wa mama aliyebeba mimba ndio unasababisha kichwa kutengeneza shepu so mtoto anapozaliwa kichwa kimepinda lazima tu kinyooshwe maana hamna jinsi.. Sio tu wazenji ndio hupenda kuminya kichwa cha mtoto kwenye pillow ya mchanga kuna walatino pia Arabs n.k sometimes hata Wazungu.. and sijawahi ona mhindi chogo wazungu wapo kibao tu.. na kuna operation hata ukubwani kuondoa chogo kubwa
 
Kitu chochote kinachodeal na head/Brain moulding Ni hatari kwa afya ya ubongo.
Head Ni very sensitive part if Human body.

Watu wa mataifa mengi huwa wanawakanda taratibu watoto wao mwili mzima na hata kichwa ili kikae vizuri hili nimeona Asians na wengine wanafanya hivyo
Je Ina athari pia kwa kuwakanda ?

Wengine huzaliwa tofauti na matarajio hapo wafanyaje mkuu maana kila mtu anapenda mwanae awe in good shape bila kumuathiri zaidi
 
Hakuna kitu kinachompa mzanzibari furaha kama kuitwa au kufananishwa na uarabu kama tu vile wale wa upande wa pili na uzungu.

They killed Christ, they created religion... unexpectedly.

sorry, not SORRY!![emoji276]
 
Back
Top Bottom