Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Haha ngoja mkazi wa mafisa aje..namuita haitiki kakimbia, ngoja niongeze sauti weeeeeeeee twin,ujumbe huoni au kusoma hujui,..jibu shutuma binti kiziwiMafisa kwa mambi,bima,mzambarauni au mwanzo mwisho🤣🤣🤣 ukitaja mafisa kuna watu watakimbia
Ntakubonda mi wa mafisa mimi? 😂Hatimae wa Mafisa mmefikiwa 😂😂 binti kiziwi
Swali:Nimekutana na wazawa wa Morogoro kutoka sehemu tofauti tofauti, wanaume kwa wanawake.
Watu hawa ni kawaida kukuta mume na mke hawajui kusoma na kuandika vizuri na wengine ni ukoo mzima, wanatatizo gani hawa.
Ndugu zetu?
Nilichokiandika kipo clear mkuu,tofauti na hapo toa mchango wako kivingine,ila mimi nimekutana na hicho nilichokiandikia maelezoSwali:
-ni hawajui kabisa kusoma na kuandika?
Au
-ni hawajui kusoma na kuandika vizuri?
Kwa hiyo wanawake wa Kule wanafaa kuolewa ?Tofauti na elimu, watu wa kule wakarimu ila wengi bado washamba fulan hivi
Morogoro ni mkoa mzuri kuishi
Aisee kaka hii fact ni ngumi ya pua 🤣🤣🤣Tuanze wa Wabunge wao.
Oscar thobias mlokaTuanze wa Wabunge wao.
Meneja wa Wasanii?Oscar thobias mloka
Mzeru Nibuka
Aziz abood
Hawa ndio nimewaona
Hao wa morogoro mjini tangu mwaka 2000,..meneja jimbo lake hata sijui linaitwaje...Meneja wa Wasanii?
Elimu kwao siyo kipaumbele ni sehemu nyingi ambazo wanaishi jamii za kiislam.Kwamba hawaendi shule au manunda?
😭😭😭Haha ngoja mkazi wa mafisa aje..namuita haitiki kakimbia, ngoja niongeze sauti weeeeeeeee twin,ujumbe huoni au kusoma hujui,..jibu shutuma binti kiziwi
Wapi huko mkuuKipindi cha nyuma nilijuaga mtu akijua kuongea basi na kusoma anajua ebhanaeee
Kuna sehemu nilifika watu vijana na viduku vyao kumbe kusoma hawajui
Hawa ndio mananga wa brigedi kabisa yaaniwajanja wajanja tu wanataka kuwa kama wamwera wa lindi kujikuta wajanja waswahili kwamba historia ya kiswahili inawahusu wao
Hivi Jamii nyingi Za kiislam elimu sio kipaumbelee kwao hiviElimu kwao siyo kipaumbele ni sehemu nyingi ambazo wanaishi jamii za kiislam.
Binti akishanua dera mpya anajiona kama kapata degree siyo.Hivi Jamii nyingi Za kiislam elimu sio kipaumbelee kwao hivi
Akiwa akipaka na Carolite ndio basiBinti akishanua dera mpya anajiona kama kapata degree siyo.