Wazazi acheni uhuni na visingizio, toeni urithi kwa watoto. Elimu sio urithi!

Wazazi wa siku hizi akifikisha 45/50 mwanaye 25-30 hapo Baba miguu juu kila kitu kwa mwanaye, hujasikia kina Baba wanawambia watoto wao wakiume waoe wanawake wenye kazi ili wasaidiane hapo wanapiga hesabu ili matumizi yasipungue kwao.
[emoji23] [emoji23] hii kali
 
Umeongea ukweli mtupu ,kwa life ili lilivyo ni muhimu sana kwa mzazi kumuandalia urithi mwanae ,just imagine kama wazazi wetu wangetuandalia viwanja enzi hizo ina maana kwasasa tusingepanda shida ya kupoteza fedha kwa ajili ya kununua viwanja,hii inawezekana kwasasa ukanunua shamba huko nje ya mji baada ya miaka 25 unamkabidhi mwanao means patakuwa town.

Ukimfungulia hisa kwenye stable company au ukawa na plan ya kumuwekea amount flan kila mwezi kwa muda wa miaka 10 ijayo itakuwa na mpunga mwingi.

kumjenga kibizness zaidi hasa kulima mboga mboga ,kufuga kuku ,kuuza duka etc hata akifikisha 18 anakua na upeo wa biashara,huo ndiyo urithi ,mambo ya elimu ni JAU.
 
Kila mtoto amjengee ya kwake. Wewe ndo huelewi. Mzazi kurithisha wanae urithi ni jukumu la kiungu kwani ndo maagizo ya Mungu. Muwe mnaekewa.
Unaonekana mhaya lakini mawazo ya kichagga! Urithi umewafikisha kwenye vihamba vyenye Mashiba ya migomba matano. Ni umaskini tu! Tafuta vyako vya baba yako ni vyake vimtunze hadi afe. Akivigawa is utamtunza wewe?
Unafikiri watu kama Mo na Manji ni mataji kwa bahati?
Mawazo ya kitoto
 
Hapa twaongelea continuity ya mali, ukiwa na mali lazima muangalizi awepo mapema ili zisipotee.
Ni wangapi wana mali wewe, wote umaskini tu! Njaa ndiyo inawafanya muwe na akili za kitoto ati urithi
 

Hoja yako ni nzuri sana,actually mimi nina msimamo wangu kuhusu namna itakavyokuwa Kwa wanangu,wataendelea nilipo ishia mimi sio kuanza upya hapana
Chochote ninacho kifanya mimi ni kwa ajili ya vizazi vyangu vingine badae...
Nina mpango hata wasisome sanaa kama mimi ikizidi sana labda degree level then waendeleze mambo yangu Mungu akijalia
Dunia inabadilika kwa sasa elimu ni ya kutoa ujinga tu huu ndio ukweli
Miaka ya 90 hakukua na wasomi wengi hivyo elimu ilikuwa hot cake
Mzazi fikiria unapomsomesha mwanao muandalie nini cha kufanya badae kabisa hii issue ya ajira ndio kwanza imeanza huko mbeleni itakuwa tafrani
 
Mzazi yeyote mwenye mtoto dhamira yake kuu ni kumrisisha mwanae mali, elimu, mila na desturi za ukoo husika. Hilo lengo hutimia bila hata kuomba iwapo kama mwana ana mwelekeo wa kufuata masharti na vigezo walivyojiwekea wazazi. Kama kijana hakidhi hivyo vigezo, hakuna namna mtu au taasisi itakayo lazimisha mzazi atoe urithi.
 


Muelekeo anautoa mzazi sio mtoto.
 

πŸ™πŸ™πŸ™

Limbukeni WA elimu walioanza kusomesha miaka ya 2000 ndio wanakuambia elimu ni Urithi
 


Umenena kweli kabisa Mkuu
 
Hoja nzuri lakini ina vinasaba vya upumbavu! Mzazi gani hataki kuwa na mali? mzazi gani hataki wanaye wawe na maisha mazuri? Ukiona hakuacha hivyo vitu jua alipambana akaishia kushindwa.

HILI WAZO LIANZE NA BABA WEWE KWA WANAO

Acha kulilia mali za mwenzako ambazo hana. Hii inatoa ishara mbaya kwa kizazi hiki cha smartphone!
 


Mtu hupata anachokitafuta.

Mtu huvuna alichopanda.

Nafikiri nimeeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…