Wazazi acheni uhuni na visingizio, toeni urithi kwa watoto. Elimu sio urithi!

Wazazi acheni uhuni na visingizio, toeni urithi kwa watoto. Elimu sio urithi!

Maisha yamekuw magumu , wazee wa sikuhz ata uwambie natak kuoa wanakwambia kila la Heri hawakupi hata sehemu ya mahari

Mi naona kama unasema yana ukweli fuln ni muhm japo sio lazm wazazi watazame maish ya kizazi chao kinasimama vp kiuchumi

Pengn wazaz unakuta wazee lakn wanakomaa na mali nyingi wew unateseka na tatzo linakuja akifa muaze kupgan wakat angetoa sehemu ya mali mkayaanda na nyie maisha .
 
Unauza nchi ununue Teknolojia uite akili kubwa? Utaishi wapi nyumbu wewe?

Uza Rasilimali ukiwa unazonyingi, lakini unahiyo hiyo moja unauza kisa elimu si Utaonekana Mpumbavu?

Huwezi uza simu ununue vocha, au uuze Baiskeli ununue Kengele, labda uwe kichaa.

Unapofanya Jambo lolote usisahau akili na maarifa.
Akili za kitoto hizo
 
Well said. Wazazi waione hii.

Ni rahisi zaidi kwa mtoto wa kihindi au kiarabu kutoboa maisha hapa TZ maana wanrithishwa Masemi trailers , maduka, viwanda na makampuni. Na baadhi ya watoto wa weusi wenzetu pia wanaojua Nini maana ya maisha.

Na anaanza kuelekezwa mapema mno. Sasa biashara unayoanza kujifumza baada ya kufeli shule au kukosa kazi na umeshakuwa na matheory kibao kichwani wakati wenzio wako practical , huwezi kushindana nao.

Wazazi tulione hili.
 
Maisha yamekuw magumu , wazee wa sikuhz ata uwambie natak kuoa wanakwambia kila la Heri hawakupi hata sehemu ya mahari

Mi naona kama unasema yana ukweli fuln ni muhm japo sio lazm wazazi watazame maish ya kizazi chao kinasimama vp kiuchumi

Pengn wazaz unakuta wazee lakn wanakomaa na mali nyingi wew unateseka na tatzo linakuja akifa muaze kupgan wakat angetoa sehemu ya mali mkayaanda na nyie maisha .
Hangaika na mali yako Acha masuala ya urithi ndipo utaendelea
 
Mimi sikurithi, watoto wangu hawakurithi pia! Acha mawazo ya kipuuzi tafuta vyako


Utanielewa baadaye au wajukuu zako watanielewa Kama Baba Yao alikuwa mwehu.

Wanasiasa na watu wakubwa wote wanajua ninachokisema ndio maana wanalimbikiza Mali, wananunua hekari Kwa hekari za Maeneo,

Lakini masikini wawatu wanauza Rasilimali ambazo ni Urithi ili watoto wasome, watoto wakimaliza shule hawana Mali na elimu haiwawezi kuiuza wapate hizo Mali.

Kwa vile wewe ni mtu ambaye bado hujajua kuchanganua mambo ndio maana huwezi elewa nazungumzia Jambo gani.
 
Well said. Wazazi waione hii.

Ni rahisi zaidi kwa mtoto wa kihindi au kiarabu kutoboa maisha hapa TZ maana wanrithishwa Masemi trailers , maduka, viwanda na makampuni. Na baadhi ya watoto wa weusi wenzetu pia wanaojua Nini maana ya maisha.

Na anaanza kuelekezwa mapema mno. Sasa biashara unayoanza kujifumza baada ya kufeli shule au kukosa kazi na umeshakuwa na matheory kibao kichwani wakati wenzio wako practical , huwezi kushindana nao.

Wazazi tulione hili.
Acha nadharia, Mbona tumefanikiwa kwa kutopata urithi. Watoto sasa wana pesa zaidi yangu kutokana na vision ya ukoo ya kutorithi.
 
Si kwamba na dili na urithi , mimi ni mtu na family ya watoto 2 na mke na najitegemea kwa 100%


Hilo nmesema kimtazo , hiyo ktu ipo hata uko kwa mahindi na marekan lazm uweke ngazi ya kumtish mwanao afanikiw Elimu si kitu san sikuhiz kama kutengenezew mazngr ya kushkw mkono baada ya kuhitimu either na kukosa ajira
Hangaika na mali yako Acha masuala ya urithi ndipo utaendelea
 
Utanielewa baadaye au wajukuu zako watanielewa Kama Baba Yao alikuwa mwehu.

Wanasiasa na watu wakubwa wote wanajua ninachokisema ndio maana wanalimbikiza Mali, wananunua hekari Kwa hekari za Maeneo,

Lakini masikini wawatu wanauza Rasilimali ambazo ni Urithi ili watoto wasome, watoto wakimaliza shule hawana Mali na elimu haiwawezi kuiuza wapate hizo Mali.

Kwa vile wewe ni mtu ambaye bado hujajua kuchanganua mambo ndio maana huwezi elewa nazungumzia Jambo gani.
Ungejua Nina wajukuu
 
Ungejua Nina wajukuu


Ndio uwape watoto Urithi usilete uhuni wako hapa.

Wewe sio Kwa vile ulikuwa na uwezo wa ku-fight ukadhani hata watoto wako au wajukuu watakuwa hivyo. Kama unafikiri hivyo jua akili zako zinamashaka,

Ninapoandika hapa simaanishi Mimi nategemea Urithi Hasha! Isipokuwa najaribu kuangalia Wale wenzangu na miye wasio na uwezo wa kupambana na maisha.
 
Si kwamba na dili na urithi , mimi ni mtu na family ya watoto 2 na mke na najitegemea kwa 100%


Hilo nmesema kimtazo , hiyo ktu ipo hata uko kwa mahindi na marekan lazm uweke ngazi ya kumtish mwanao afanikiw Elimu si kitu san sikuhiz kama kutengenezew mazngr ya kushkw mkono baada ya kuhitimu either na kukosa ajira
Urithi unafanya watoto kufikia wakati wakaua wazazi! Mtu anayerithi vyangu ni mjukuu! Watoto wametafuta vyao. Kuna tofauti kati ya kumwezesha mtoto na urithi kumbuka
 
Ndio uwape watoto Urithi usilete uhuni wako hapa.

Wewe sio Kwa vile ulikuwa na uwezo wa ku-fight ukadhani hata watoto wako au wajukuu watakuwa hivyo. Kama unafikiri hivyo jua akili zako zinamashaka,

Ninapoandika hapa simaanishi Mimi nategemea Urithi Hasha! Isipokuwa najaribu kuangalia Wale wenzangu na miye wasio na uwezo wa kupambana na maisha.
Napoteza muda kujadiliana na juha kama wewe, tafuta vyako epuka kutegemea urithi
 
Urithi unafanya watoto kufikia wakati wakaua wazazi! Mtu anayerithi vyangu ni mjukuu! Watoto wametafuta vyao. Kuna tofauti kati ya kumwezesha mtoto na urithi kumbuka


Mpe mtoto Urithi atajiwezesha mwenyewe.

Hata hii nchi tumeirithi Kwa Mababu zetu, tumia akili ndogo Mzee.

Wanasiasa wanakufanganya elimu ni Urithi WA mtoto nawe unalidaka Kama lilivyo, wakati wao wanahodhi Maeneo na kujilimbikizia Mali za watoto na vitukuu vyao.

Sijui kama unanielewa
 
Huu uzi tuwatoe wazazi wetu ambao hapo awali walisoma huku wakijua baada ya kuhitimu naenda kuajiriwa. Kwa sasa anayemaliza darasa la saba akaingia mtaani mwingine akaenda shule baada ya miaka 6 (sec) +3 Chuo = 10, aliyeachwa mtaani tayari ana familia na fani ya kumwezesha kuendesha maisha. Aliyetoka chuo hafai kwa wazazi wala kwa ulimwengu. Inabidi arudi kwa washkaji wa kitaa wamfundishe fani alizoziacha akaenda shule.

Mambo yamebadilika. Tusiache kusomesha lakini tusiache kuandaa rasilimali za urithi. Ni kweli Elimu si urithi
 
Back
Top Bottom