TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Maisha yamekuw magumu , wazee wa sikuhz ata uwambie natak kuoa wanakwambia kila la Heri hawakupi hata sehemu ya mahari
Mi naona kama unasema yana ukweli fuln ni muhm japo sio lazm wazazi watazame maish ya kizazi chao kinasimama vp kiuchumi
Pengn wazaz unakuta wazee lakn wanakomaa na mali nyingi wew unateseka na tatzo linakuja akifa muaze kupgan wakat angetoa sehemu ya mali mkayaanda na nyie maisha .
Mi naona kama unasema yana ukweli fuln ni muhm japo sio lazm wazazi watazame maish ya kizazi chao kinasimama vp kiuchumi
Pengn wazaz unakuta wazee lakn wanakomaa na mali nyingi wew unateseka na tatzo linakuja akifa muaze kupgan wakat angetoa sehemu ya mali mkayaanda na nyie maisha .