Hivi anadhani kila mtu ana nyumba zaidi ya moja? Au benki ana billion?
Kwanza elewa kuwa mtu mwenye nyumba zaidi ya moja mjini ni mtu aliyezaliwa kijijini katika umaskini na nyumbani kwao alipokulia waliishi nyumba ya nyasi au matope! Huwezi kukuta mfano mtoto wa Nyerere ana nyumba zaidi ya moja. Mtoto wa mzee ruksa anatawala vizuri Zenji sababu hakuzaliwa katika family za kifukara kama zetu - tamaa na uroho!
Fikiria mtu unaoa ukiwa na 30! Unastaafu mtoto akiwa naye anaoa wewe upo 60! Kiinua mgongo unapata 300M na tunatumai bado una miaka 30 mbele ya kuishi. Hiyo pesa unanunua bondi ili kila mwezi upate million 3, ili maisha yasonge. Huyu mvuta bangi anaona uzigawe kwa watoto ili ule mafi (kichagga)? Ukijaliwa unakufa wakati mjukuu anaoa! Je, urithi wa mtoto una maana kweli?