Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #101
Unazungumzia ngozi nyeupe ,au hawa waswahili wavivu na wafujaji wapenda ngono?
Hili la kuandaa urithi wa watoto ndio ujinga wenyewe. Mtoto anatakiwa atafute zake. Amewezeshwa elimu sio lazima asaidiwe kupata kazi, elimu impe kipato. Huu ujinga wa kusubiri urithi ndio taifa la wapumbavu linaanzia kwenye familia kumbe za aina hii
Wanawalea wenyewe vibaya mwishowe wanawageukaUrithi unafanya watoto kufikia wakati wakaua wazazi! Mtu anayerithi vyangu ni mjukuu! Watoto wametafuta vyao. Kuna tofauti kati ya kumwezesha mtoto na urithi kumbuka
Nani mvivu kati ya anaemaliza shule na kwenda kuendeleza mali za familia na yule anaetembea na bahasha ya kaki kutafuta Ajira (Survival)?najaribu kuielewa fasihi ya mvivu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] (mafi) umenikumbusha mama mwenye nyumba wangu Moro mpaka niliuliza ndiyo nini haa haa haaHivi anadhani kila mtu ana nyumba zaidi ya moja? Au benki ana billion?
Kwanza elewa kuwa mtu mwenye nyumba zaidi ya moja mjini ni mtu aliyezaliwa kijijini katika umaskini na nyumbani kwao alipokulia waliishi nyumba ya nyasi au matope! Huwezi kukuta mfano mtoto wa Nyerere ana nyumba zaidi ya moja. Mtoto wa mzee ruksa anatawala vizuri Zenji sababu hakuzaliwa katika family za kifukara kama zetu - tamaa na uroho!
Fikiria mtu unaoa ukiwa na 30! Unastaafu mtoto akiwa naye anaoa wewe upo 60! Kiinua mgongo unapata 300M na tunatumai bado una miaka 30 mbele ya kuishi. Hiyo pesa unanunua bondi ili kila mwezi upate million 3, ili maisha yasonge. Huyu mvuta bangi anaona uzigawe kwa watoto ili ule mafi (kichagga)? Ukijaliwa unakufa wakati mjukuu anaoa! Je, urithi wa mtoto una maana kweli?
Ukoo wako utakuwa Masikini daima.Sie tulirithi nini kwani,
komaeni mpate vyenu, wenzio tutauza mpaka sindano kabla ya kwendazetu.
Sie tulirithi nini kwani,
komaeni mpate vyenu, wenzio tutauza mpaka sindano kabla ya kwendazetu.
Wazazi wa siku hizi akifikisha 45/50 mwanaye 25-30 hapo Baba miguu juu kila kitu kwa mwanaye, hujasikia kina Baba wanawambia watoto wao wakiume waoe wanawake wenye kazi ili wasaidiane hapo wanapiga hesabu ili matumizi yasipungue kwao.ndo mana mimi sijawahi kuwa muumini wa kwamba kijana akikua eti akajitafutie wengine mpaka wanawafukuza nyumbani.. KIzazi cha sasa cha ajabu sana wazee wa zamani hata kijana akitaka kuoa wao ndo wanasimamia show nzima mahari na kila kitu unapewa shamba na ngombe ukaanza maisha na mkeo leo hamna hiyo kitu.
Tutafute mali kwa ajili ya watoto wetu kurithi wasome wakimaliza wanarudi kurithi mali zako na kuziendeleza ndo inatakiwa kuwa hivyo.
Wazazi wa siku hizi akifikisha 45/50 mwanaye 25-30 hapo Baba miguu juu kila kitu kwa mwanaye, hujasikia kina Baba wanawambia watoto wao wakiume waoe wanawake wenye kazi ili wasaidiane hapo wanapiga hesabu ili matumizi yasipungue kwao.
[/QUOTE
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wao waliishia kula bata na kuoa mitalaWazee wetu walirithi Ardhi na Mifugo,kosa walilofanya hawakuendeleza hizo Mali,waka amini katika Ajira (Survival)
Unamuongelea baba yake nani😆Wazazi wa siku hizi akifikisha 45/50 mwanaye 25-30 hapo Baba miguu juu kila kitu kwa mwanaye, hujasikia kina Baba wanawambia watoto wao wakiume waoe wanawake wenye kazi ili wasaidiane hapo wanapiga hesabu ili matumizi yasipungue kwao.
Mzazi wa kitanzania kazi yake ni kukutunza upate nguvu ya kujipambania. Mengine ni ziada, hata elimu sio kazi yake ni ya serikali.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi kuu ya serikali/mzazi Mkuu no kurithisha Mali/nchi toka kizazi mpaka kizazi.
Kuhakikisha ulinzi na usalama Kwa wananchi, na kutoa Huduma muhimu kubwa kubwa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jiwe gizani ukisikia yalaaa limempata haa haa haaUnamuongelea baba yake nani[emoji38]
Ni wapumbavu tu kama wewe ambao wanaishi kwa kuvizia wazazi wafe, au walisishwe. Hapo ulipofikia imetosha unanyo manyoya ya kwapa kwa wazazi wako ni mpumbavu.Familia zisizoacha Urithi ndio Masikini Budah!
Ukiona ukoo na familia hautoi Urithi ujue ni wajinga na masikini Kabisa.
Jamii zote zenye nguvu zinajua na kukizingatia nikisemacho.
Dini zote makini zimeeleza hili.
Ni wapumbavu Kama wewe ndio hawajui Jambo hili.
Elimu hata mbwa anaweza akapewa.
🤣🤣🤣
Sasa kumbe hizo ni kazi za serikali.
Ni wapumbavu tu kama wewe ambao wanaishi kwa kuvizia wazazi wafe, au walisishwe. Hapo ulipofikia imetosha unanyo manyoya ya kwapa kwa wazazi wako ni mpumbavu.
Elimu, afya ni mtaji tosha
Williamson alitoka kwao kuja ku hustle maisha huku mwisho amekufa na mgodi wa almasi
Akina Bill Gate walidrop shule na kupambana walirithishwa nini wa ng"ombe wa mayai?