Wazazi acheni uhuni na visingizio, toeni urithi kwa watoto. Elimu sio urithi!

Tatizo mmepotoshwa ili wenye akili waishi raha mstarehe ninyi muendelee kuishi kwa kubahatisha.
Mrithi ana majukumu makubwa kuliko wewe muajiriwa (Mtumwa).Mrithi anajukumu la kutunza na kuendeleza mali aliyorithi mpaka pale atakapo ikabidhi iyo mali kwa kizazi kinachofuata.
 
Endelea kutegemeza kizazi chako, huo UJINGA eti 90% ya matajiri wamerithi ! kwa research ipi, iliyofanywa kwa methodology gani? Ni akina nani hao.
Weka huo utafiti tuuone
 
Lishaneni huo ujinga . Mtaishia kuwatazamia ndugu zenu wenye mali wawarithishe iwe kwa hiari yao au lazima
 
Endelea kutegemeza kizazi chako, huo UJINGA eti 90% ya matajiri wamerithi ! kwa research ipi, iliyofanywa kwa methodology gani? Ni akina nani hao.
Weka huo utafiti tuuone


Mambo mengine hayahitaji utafiti Budah!
Ndio mlivyofundishwa huko Chuoni🀣🀣🀣

Angalia hata top 20 ya matajiri hapa TANZANIA
Angalia top 20 Afrika
Angalia top 20 ya Dunia ujifunze.

Sio ulete uhuni wako hapa
 
Mambo mengine hayahitaji utafiti Budah!
Ndio mlivyofundishwa huko Chuoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Angalia hata top 20 ya matajiri hapa TANZANIA
Angalia top 20 Afrika
Angalia top 20 ya Dunia ujifunze.

Sio ulete uhuni wako hapa
Mlaumu mzazi wako sasa kwa kutojipanga ili ukute mali
 
Mkuu acha uvivu na ubinafi watu wenye akili wanaishi kwa kufikiria vizazi vinavyofuata.
Umesemaje? Ukiiweka vzr mada yako kwa mkutadha huo nitakusapoti. Ondoa uvivu wa kutafuta na kujenga kizazi cha kusubiri
 
Umesemaje? Ukiiweka vzr mada yako kwa mkutadha huo nitakusapoti. Ondoa uvivu wa kutafuta na kujenga kizazi cha kusubiri
Hiki ndio tumekuwa tukijadili mda wote hapa. Ni lazima tujenge misingi ya kutengeneza mali zitakazo dumu kizazi hadi kizazi.Ni nani kawadanganya kuwa mrithi ni mtu legelege?.Mrithi ni mtu aliye aminiwa na kuandaliwa ili ahakikishe mali za familia /ukoo zinaendelea kuwepo.
 


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Unajisumbua kumueleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…