Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka majibu ya hayo maswalii.. mbona mnatudai hela sana nyinyii...Badilisha namna ya kupima uwezo wa watoto wako...
Hii likizo wafundishe stadi tofauti za maisha...acha kuwachosha
Jinsi ya kutengeneza funza kwa kutumia kinyesi cha ng'ombe
Jinsi ya kupanda mbogamboga kwenye magunia
Jinsi ya kutengeneza kiti cha mbao
N.k n.k..
Mkuu ww ndio huna akili kabisa pole sana....... simlaumu mtoto wa std 6 kutojua mambo, ww unafuatilia kwa karibu maendeleo ya mtoto? Kwakua mfuatiliaji mapema tu anatambua hii shule sio nimuhamishe mwanangu. Kwani kaanza std 6 au kapita stage by stage?Embu fikiria mtoto wako wa std six hajui Mkoa gani huanza kabla ya kufika Dar...!?? Geography.
Au hajui Verb forms za Verb 'be'.. English.
Wazee..! Kuna ujinga na tunapigwa. Nilitaka wasafirisha wanangu waende holidays ila nimekuta weupe. Naingia nao Class. I'm a teacher...
Walimu Wao ntakutana nao January.
Mbuzi na shamba vyote ni vya bwana kheriTatizo ni wanao na wewe mwenyewe...
Sasa hilo swali lako hata mimi sijui..
Mkoa kabla ya Dar..
Kutokea wap?
Kwa kutumia usafiri gani?
.Embu fikiria mtoto wako wa std six hajui Mkoa gani huanza kabla ya kufika Dar...!?? Geography.
Au hajui Verb forms za Verb 'be'.. English.
Wazee..! Kuna ujinga na tunapigwa. Nilitaka wasafirisha wanangu waende holidays ila nimekuta weupe. Naingia nao Class. I'm a teacher...
Walimu Wao ntakutana nao January.
Embu fikiria mtoto wako wa std six hajui Mkoa gani huanza kabla ya kufika Dar...!?? Geography.
Au hajui Verb forms za Verb 'be'.. English.
Wazee..! Kuna ujinga na tunapigwa. Nilitaka wasafirisha wanangu waende holidays ila nimekuta weupe. Naingia nao Class. I'm a teacher...
Walimu Wao ntakutana nao January.
Alafu wewe MwAlimu unafanya kazi gani...Nyumbani una makitaba?
Atlas ipo?
Huwa unakagua kazi zake za nyumbani?
Huwa unafuatilia maendeleo yake ya kitaaluma shuleni?
Mbona na wewe mkuu naona kama lugha inakupiga chenga. Tenses kwa wabongo wengi ni tatizo.Soma tena uzi mkuu..
You are way better than ...the shit u just wrote.
Mkuu hii likizo wafundishe namna ya kukabiliana na changamoto ndogondogo za maisha...Nataka majibu ya hayo maswalii.. mbona mnatudai hela sana nyinyii...
What's your stand ❌️So!? What's ur stand!?
HahahahaTatizo ni wanao na wewe mwenyewe...
Sasa hilo swali lako hata mimi sijui..
Mkoa kabla ya Dar..
Kutokea wap?
Kwa kutumia usafiri gani?
Mkoa wa Pwani.Tatizo ni wanao na wewe mwenyewe...
Sasa hilo swali lako hata mimi sijui..
Mkoa kabla ya Dar..
Kutokea wap?
Kwa kutumia usafiri gani?
Taja tuu mzee, kama mbwai na iwe mbwaiShule hii ni maarufu sana hapa. Na sihitaji kuhitaja jina hapa..
Kifupi hao wadhibiti ubora nao weupe tu.
Nina hasira kali..
Nimetokea Unguja na ndege...Mkoa wa Pwani.
Pwani ndio mkoa ambao ukitaka kuja Dar kwa njia zote unazojua wewe n lazima upite kwenye huu mkoa
Basi,mwanao haingii darasani na mimi kazi yangu ni kumfundisha mtoto aliyeko darasani.Alafu wewe MwAlimu unafanya kazi gani...
Kama tunagawana majukumu ya kazi mbona ukichukua mshahara hungawii!??
Una akili!??
Hizo waalimu wengi ni vibwengo tupu, English zero, sasa verb to 'be' nyepesi , 'do' ma auxiliary verb (helping verbs), the simplest subject ni English, form four failure wanaajiriwa kama waalimuEmbu fikiria mtoto wako wa std six hajui Mkoa gani huanza kabla ya kufika Dar...!?? Geography.
Au hajui Verb forms za Verb 'be'.. English.
Wazee..! Kuna ujinga na tunapigwa. Nilitaka wasafirisha wanangu waende holidays ila nimekuta weupe. Naingia nao Class. I'm a teacher...
Walimu Wao ntakutana nao January.