Odense
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 1,189
- 1,585
Tujuze mkuu ni njia zipi hizo?Wanashindwa kumdhibiti na kukubali mateso.Mtu yeyeto ajifanyae mwamba zipo njia za kumdhibiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujuze mkuu ni njia zipi hizo?Wanashindwa kumdhibiti na kukubali mateso.Mtu yeyeto ajifanyae mwamba zipo njia za kumdhibiti
Mkuu fuatilia sehemu zozote zinazotisha kwa wizi na ukabaji, wahusika huwa wanajulikana na hawafanywi kituWanashindwa kumdhibiti na kukubali mateso.Mtu yeyeto ajifanyae mwamba zipo njia za kumdhibiti
Sababu wakaazi wanawalea, zaidi ni ile mtoto wa fulani nitaonekana mbaya.Mkuu fuatilia sehemu zozote zinazotisha kwa wizi na ukabaji, wahusika huwa wanajulikana na hawafanywi kitu
Mwagia asidi tuTujuze mkuu ni njia zipi hizo?
Ukimuweka wazi huyu jamaa nitafanya kila njia nimpoteze.Inasikitisha sana kuona wazazi wanazaa tu kisha kuacha watoto wajilee wenyewe.
Dunia ya sasa imeharibika, hii imetokea juzi nikiwa nimelala zangu mchana majira ya saa saba, nikiwa kwenye usingizi mzito nasikia sauti ya mtoto mdogo akilalama aachiwe.
Sikutilia manani nikahisi huenda labda naota bahati nzuri wife alikuwa macho akaniamsha baba kuna mtoto hapa anafanyiwa kitu kibaya, ikanibidi niamke kweli nikasikia sauti ya mtoto mdogo wa kiume umri wake miaka minne akilalama.
Nikafungua pazia taratibu nakulikuta njemba likiwa limembania mtoto ukutani huku likiwa limemvua nguo, nikitoka kwa jazba kisha nikawajulisha majirani wengine wanusaidie tumkamate ni ajabu wamebaki tu wananishangaa.
Nikazunguka mwenyewe nyuma ya nyumba lile njemba lilipo niona likakurupuka na kumuachia mtoto kisha tukaanza kukimbiza huku nikiita mwizi, kwa kweli sikupata sapoti yeyote kutoka kwa raia wananitizana tu inaonekana huyu kijana anatoka mazingira yale wanamfahamu hivyo wameamua kumlinda.
Sikufanikiwa kumkamata hii kitu imeniuma sana, nilipeleka taarifa kwa wazazi wa mtoto wamejaribu kumuangali wanadai hakufanikiwa kumfanya chochote, nimewaachia wao hii kesi waifuatilie huyu kijana pale mtaani anafahamika.
Mkuu subiri kidogo, kuna vitu vitatu bado sijavifanya.Hii dunia tungepotezwa wote tu ishakuwa chafu mno
Siku nyingine ukibahatika kumuona mtu wa aina hiyo ni kumuua tu halafu mnachoma moto. unasema mwizi huyu.Inasikitisha sana kuona wazazi wanazaa tu kisha kuacha watoto wajilee wenyewe.
Dunia ya sasa imeharibika, hii imetokea juzi nikiwa nimelala zangu mchana majira ya saa saba, nikiwa kwenye usingizi mzito nasikia sauti ya mtoto mdogo akilalama aachiwe.
Sikutilia manani nikahisi huenda labda naota bahati nzuri wife alikuwa macho akaniamsha baba kuna mtoto hapa anafanyiwa kitu kibaya, ikanibidi niamke kweli nikasikia sauti ya mtoto mdogo wa kiume umri wake miaka minne akilalama.
Nikafungua pazia taratibu nakulikuta njemba likiwa limembania mtoto ukutani huku likiwa limemvua nguo, nikitoka kwa jazba kisha nikawajulisha majirani wengine wanusaidie tumkamate ni ajabu wamebaki tu wananishangaa.
Nikazunguka mwenyewe nyuma ya nyumba lile njemba lilipo niona likakurupuka na kumuachia mtoto kisha tukaanza kukimbiza huku nikiita mwizi, kwa kweli sikupata sapoti yeyote kutoka kwa raia wananitizana tu inaonekana huyu kijana anatoka mazingira yale wanamfahamu hivyo wameamua kumlinda.
Sikufanikiwa kumkamata hii kitu imeniuma sana, nilipeleka taarifa kwa wazazi wa mtoto wamejaribu kumuangali wanadai hakufanikiwa kumfanya chochote, nimewaachia wao hii kesi waifuatilie huyu kijana pale mtaani anafahamika.
Amina mkuuMkuu subiri kidogo, kuna vitu vitatu bado sijavifanya.
Nikimaliza hivyo, then i can die in peace.
Kuna siku nilikua nipo mitaa flan nkakuta njemba imekamatwa nyuma ya shule (day care) akifanya uo uasi......
Niliratibu shughuli ya kuvunja jino kwa kupiga ngumi sehem moja mara 4....
Si ndio wanaume wa Dar kumvunja jino anaona ni adhabu wakati kuna jamii mapengo ni urembo huwa wanang'owa wenyewe makusudi.Dar huko eti?
Haahahaaa! Ty,my dear!! Wote tuteketee!!😂😂😂😂Hii dunia tungepotezwa wote tu ishakuwa chafu mno
Ha ha haaa,inakera sanaHaahahaaa! Ty,my dear!! Wote tuteketee!!😂😂😂😂