Wazazi kuweni makini na watoto wenu hasa wa kiume

Mkuu fuatilia sehemu zozote zinazotisha kwa wizi na ukabaji, wahusika huwa wanajulikana na hawafanywi kitu
Sababu wakaazi wanawalea, zaidi ni ile mtoto wa fulani nitaonekana mbaya.

Pili hata wenyeji unufaika na uhalifu.
 
Ukimuweka wazi huyu jamaa nitafanya kila njia nimpoteze.

Yani utakuja tu kusikia mazishi. Fanya kunipa details PM nimalize hayawani mmoja kwenye jamii!
 
Siku nyingine ukibahatika kumuona mtu wa aina hiyo ni kumuua tu halafu mnachoma moto. unasema mwizi huyu.

Dawa ya watu wanao wadhalalisha watoto kwa kuwanajisi na kuwabaka ni kuwaua tu hakuna jingine hao ni wauaji hakuna adhabu nyingine zaidi ya kuwaua.
 
Hii dunia sasa mpaka naiogopa mimi
 
Kuna siku nilikua nipo mitaa flan nkakuta njemba imekamatwa nyuma ya shule (day care) akifanya uo uasi......

Niliratibu shughuli ya kuvunja jino kwa kupiga ngumi sehem moja mara 4....

Dar huko eti?
 
Sasa hivi hali ni mbaya sana kwa watoto wetu wa kiume,sasa hivi watoto wa kiume wapo hatarini zaidi ya watoto wa kike,mzazi usipokuwa makini utalea shoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…