Wazazi kuweni makini na watoto wenu kuangalia muvi zenye superheroes Content

Wazazi kuweni makini na watoto wenu kuangalia muvi zenye superheroes Content

Basi ngoja nikupe mwanga kidogo.
Kuna katuni na animation
Katuni zinazoonyeshwa kwenye Chanel za watoto kaa vile Disney Junior, Cartoon Network, Da Vinci learning, KidCo, Nickelodeon, hizi mara nyingi hua zimewalenga Watoto 2-10. Kwakweli sijawahi kuzitilia mashaka hizi cartoon na hizo Chanel nilizotaja hapo juu nimezitazama sana. Sijui kwa sasa mambo yamekuaje.. ila naona kuna PJ mask disney junior sio mbaya.

Sasa kuna hizi animation mara nyingi tunaziita Adult swim mfano wake ni kama zinazotengenezwa na studio kubwa za muvi kama vile Warner Bros animation, Dreamworks,Pixar,Bluesky, Disney, nk hizo ni zawatu wakubwa kuanzia 13. Kwa huku afrika miaka 13 bado Mtoto mdogo

Sasa kuna hizi animation hua zinawekwe kwenye streaming chanel kama vile Amazon, Netflix, Disney+, Etc hiz ndio mabaya kabisa mfano kuna Cartoon inaitwa The Invincible imetoka mwaka huu ni ya superhero ila ina umwagaji wa damu na ushoga humo.
Ahsante sana, nimekuelewa vema....
 
Haya ma movies huwa siya angalii kabisa! Tena kwenye DSTV kuna channels baadhi maupuuzi haya yapo wazi mno.

Nawapenda sana Azam kwenye movies za maadili hili dstv soon likae kwa droo tu, ni kufunga Azam.
 
Basi ngoja nikupe mwanga kidogo.
Kuna katuni na animation
Katuni zinazoonyeshwa kwenye Chanel za watoto kaa vile Disney Junior, Cartoon Network, Da Vinci learning, KidCo, Nickelodeon, hizi mara nyingi hua zimewalenga Watoto 2-10. Kwakweli sijawahi kuzitilia mashaka hizi cartoon na hizo Chanel nilizotaja hapo juu nimezitazama sana. Sijui kwa sasa mambo yamekuaje.. ila naona kuna PJ mask disney junior sio mbaya.

Sasa kuna hizi animation mara nyingi tunaziita Adult swim mfano wake ni kama zinazotengenezwa na studio kubwa za muvi kama vile Warner Bros animation, Dreamworks,Pixar,Bluesky, Disney, nk hizo ni zawatu wakubwa kuanzia 13. Kwa huku afrika miaka 13 bado Mtoto mdogo

Sasa kuna hizi animation hua zinawekwe kwenye streaming chanel kama vile Amazon, Netflix, Disney+, Etc hiz ndio mabaya kabisa mfano kuna Cartoon inaitwa The Invincible imetoka mwaka huu ni ya superhero ila ina umwagaji wa damu na ushoga humo.
Eti dogo angalie animation za
Ricky and Morty
Final space
Za adult swim

Au Castlevania unategemea nini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
She hulk

Captain Carter wa what if

Goddes of thunder

Silvie

Ironheart

Ms marvel

Captain marvel

I swear marvel wakiendelea na hii female superhero bullshit naachana nao




By the way Eternal imekuwa nzuri kwa upande wangu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
She hulk

Captain Carter wa what if

Goddes of thunder

Silvie

Ironheart

Ms marvel

Captain marvel

I swear marvel wakiendelea na hii female superhero bullshit naachana nao




By the way Eternal imekuwa nzuri kwa upande wangu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yaani hawa watu wana ajenda zao za siri ndio maana mm imebidi nipunguze ushabiki wa hizi muvi. Yaani karibia character wote wa kiume wanatolewa wanawekwa wakike
Btw ms Marvel hamreplace captain marvel maana ni character tofauti sema Ms marvel role model wake ni Cap. Marvel ndipo alipopata nguvu. Hapo sina shida maana wote ni wakike

Eternal ni nzuri ila huu upuuzi wa LGBTQ hauvumiliki
CC.
Super Assassin
 
Wakifanikiwa zaidi ya nusu wakawa hivyo dunia itasafisha maana ni against nature.
 
Yaani hawa watu wana ajenda zao za siri ndio maana mm imebidi nipunguze ushabiki wa hizi muvi. Yaani karibia character wote wa kiume wanatolewa wanawekwa wakike
Btw ms Marvel hamreplace captain marvel maana ni character tofauti sema Ms marvel role model wake ni Cap. Marvel ndipo alipopata nguvu. Hapo sina shida maana wote ni wakike

Eternal ni nzuri ila huu upuuzi wa LGBTQ hauvumiliki
CC.
Super Assassin
Na ktk character simpendi Ni captain marvel

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mi ndio maana naangalia korea historical drama eg jumong,land of the wind....etc huwez kukuta ujinga huo...nawatoto wanazipenda..
Hata mimi ndio muvi zangu hazina ujinga zina content nzuri .
 
Hiyo sio kwa watoto tu hata kwa watu wazima kama ukiwa attached sana na hizo series hata wewe utakuja kuyaona hayo mambo ni ya kawaida. Hivi vitu usiviruhusu vikakuingia sana kwa mfano ile squid game kwa jinsi ilivyozoa wafatiliaji nakuhakikishia ikija kutoka season 2 lazima ukute wameingiza hayo mambo ya ushoga.
Kweli kabisa athari sio kwa watoto peke yao ,na hiyo season 1 bado kuna ujinga upo mfano yale masanamu ya wanawake wapo uchi matiti wazi.
 
Wazazi wenyewe siku hizi walivyokuwa busy hawana time na watoto, kazi ipo hapo wao wanaamini malezi ni kumpeleka mtoto shule nzuri na kumpa anachotaka then zigo lote la malezi na ufuatiliaji wa mtoto anabwagiwa mfanyakazi wa ndani.
 
Wazazi wenyewe siku hizi walivyokuwa busy hawana time na watoto, kazi ipo hapo wao wanaamini malezi ni kumpeleka mtoto shule nzuri na kumpa anachotaka then zigo lote la malezi na ufuatiliaji wa mtoto anabwagiwa mfanyakazi wa ndani.
Du hii ni hatari sana
 
Back
Top Bottom