Wazazi kuweni makini sana katika kuchagua vyuo hasa vya NACTE kuwapeleka watoto wenu

Wazazi kuweni makini sana katika kuchagua vyuo hasa vya NACTE kuwapeleka watoto wenu

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Sitafuni maneno, chuo kama cha MATI Mtwara, ni kambi ya kupata manamba wa kufanya kazi kwenye Mikorosho, ufuta, alizeti, mpunga (kidogo), mahindi,mboga mboga za aina zote unazoweza kuzifikiria etc etc ya the so called chuo na vyuo vingine vya hivyo. .

Hakuna watoto wanachosoma cha kuwasaidia kupata maarifa ya kilimo au ufugaji kama ilivyokuwa zamani Naliendele miaka ya 70s! Vijana walikuwa wanatoka pale ni wataalamu wa Kilimo. Tulikuwa nao jeshini Rwamkoma wanaongoza kilimo cha mahindi, unaona kabisa kuwa hawa ni wataalamu.

Sikatai lazima kuwe na demonstration plots, LAKINI eti group ya watu 20 wana eka 10 za shamba la korosho, alizeti eka 130 na mengine in more or less that range. Kweli hao wanakwenda darasani kusoma au ni manamba! Kama uliwahi kuona mashamba ya Mkonge enzi hizo, ndilo linalofanyika.

Wazazi kuweni macho, matokeo ya form 4 yametoka na hivyo wazazi mtaanza kutafuta vyuo. Vyuo vya kilimo ni kambi za kupata manamba wa mashamba yao!

YANGU NIMEMALIZA, YOU TAKE IT OR NOT! I HAVE DEEP EXPERIENCE FROM THERE

Ndiyo faida ya JF kupata/kujua ambacho usingelikijua!
 
Sitafuni maneno, chuo kama cha MATI Mtwara, ni kambi ya kupata manamba wa kufanya kazi kwenye Mikorosho, ufuta, alizeti, mpunga (kidogo)...
Kama hicho ni Chuo cha Kilimo nafikiri kitakuwa kizuri sana.

unajua hawa watoto wa kizazi cha kubeti wanaoshinda kwenye simu kuchati; wanafikiri hela inapatikana kwa urahisi. Kwani korosho inakazi gani zinazofanya mtu awe bize sana? ingekuwa ni kahawa ningekuelewa.

Umetaja mazao mengi hata nikavutiwa; Ufuta, Alizeti, Mpunga, Mahindi na mboga mboga.

Naamini mwanafunzi aliye toka hapo anaweza kujitegemea!

Hongereni sana Chuo cha MATI mtwara!
 
Kama hicho ni Chuo cha Kilimo nafikiri kitakuwa kizuri sana
Unajua hawa watoto wa kizazi cha kubeti wanaoshinda kwenye simu kuchati; wanafikiri hela inapatikana kwa urahisi...
sasa nakwambia hakuna lolote! Sitaki kubishana na mtu. Yangu nimemaliza. Take it or not! I am talking from very deep experience!
 
safi sana chuo cha mati mtoto akimaliza ataweza kujiajiri
sasa nakwambia hakuna lolote! Sitaki kubishana na mtu. Yangu nimemaliza. Take it or not! mpeleke tu , I am talking from very deep experience!
 
sasa nakwambia hakuna lolote! Sitaki kubishana na mtu. Yangu nimemaliza. Take it or not! I am talking from very deep experience!
Kwa hiyo wewe unakwenda kwenye Chuo cha kilimo, unataka ukalime bustani wakati ukitoka hapo unaomba kazi kwenye shamba lenye heka 100 hadi 200.

Hata ukienda SUA ni almost hivyo hivyo...kama hutaki kilimo kasome vitu vingine!!!
 
Hicho chuo ndio kizuri vijana wanakuwa occupied na majukumu.
 
Kwa hiyo wewe unakwenda kwenye Chuo cha kilimo, unataka ukalime bustani?
Hata ukienda sua ni almost hivyo hivyo...kama hutaki kilimo kasome vitu vingine!!!
Take it or not!
 
Sitafuni maneno, chuo kama cha MATI Mtwara, ni kambi ya kupata manamba wa kufanya kazi kwenye Mikorosho, ufuta, alizeti, mpunga (kidogo), mahindi,mboga mboga za aina zote unazoweza kuzifikiria etc etc ya the so called chuo na vyuo vingine vya hivyo. ...
Sasa hapo kwenye 20 kwa ekari 10 si nusu eka kwa mwanafunzi. Hiyo nusu kama hawezi kuihudumia ikawa shamba darsa lake huyo hafai kuwa mtaalamu.
 
Wewe mzee mwenzangu umezidi kulalamika kwani weweeumekulia usa?
 
Sasa hapo kwenye 20 kwa ekari 10 si nusu eka kwa mwanafunzi. Hiyo nusu kama hawezi kuihudumia ikawa shamba darsa lake huyo hafai kuwa mtaalamu.
Cushite, kuna watu wamesoma hicho chuo enzi za miaka ya 70. Walikuwa na demonstration plots na si mahamba kama mashamba ya mkonge! Listern, kuna eka 500 za korosho,

Ufuta eka 130 na mazao mengine hivyo hivyo! unadhani kuna kusoma hapo? Wangwa na wafungwa waliokuwa wanapita hapo, wakiwadhihaki kuwa na nyinyi ni wafungwa ni kwa vile hamna namba.

All in all mpeleke tu umpendae asome
 
Back
Top Bottom