Wazazi kuweni makini sana katika kuchagua vyuo hasa vya NACTE kuwapeleka watoto wenu

Wazazi kuweni makini sana katika kuchagua vyuo hasa vya NACTE kuwapeleka watoto wenu

safi sana chuo cha mati mtoto akimaliza ataweza kujiajiri
Ninashangaa analamikia kitu gani huyu?
Unataka watoto wawe wahuni mtaani?
Acha walime wakirudi wanafanya kwa vitendo.
 
Sitafuni maneno, chuo kama cha MATI Mtwara, ni kambi ya kupata manamba wa kufanya kazi kwenye Mikorosho, ufuta, alizeti, mpunga (kidogo), mahindi,mboga mboga za aina zote unazoweza kuzifikiria etc etc ya the so called chuo na vyuo vingine vya hivyo. .

Hakuna watoto wanachosoma cha kuwasaidia kupata maarifa ya kilimo au ufugaji kama ilivyokuwa zamani Naliendele miaka ya 70s! Vijana walikuwa wanatoka pale ni wataalamu wa Kilimo. Tulikuwa nao jeshini Rwamkoma wanaongoza kilimo cha mahindi, unaona kabisa kuwa hawa ni wataalamu.

Sikatai lazima kuwe na demonstration plots, LAKINI eti group ya watu 20 wana eka 10 za shamba la korosho. Kweli hao wanakwenda darasani kusoma au ni manamba! Kama uliwahikuona mashamba ya Mkonge enzi hizo, ndilo linalofanyika.
Wazazi kuweni macho, matokeo ya form 4 yametoka na hivyo wazazi mtaanza kutafuta vyuo. Vyuo vya kilimo ni kambi za kupata manamba wa mashamba yao!

YANGU NIMEMALIZA, YOU TAKE IT OR NOT! I HAVE DEEP EXPERIENCE FROM THERE

Ndiyo faida ya JF kupata/kujua ambacho usingelikijua!
Mleta uzi sijaona mantiki yako iko wapi!

Kama chuo kinafundisha vitendo 90% hicho ndio chuo makini kinachohitajika karne hii.

Nadharia tuwaachie shule za msingi na sekondari huko.

Afisa kilimo ujuzi utaupata shambani zaidi kuliki darasani.

Kwani we hujasikia vijana wakienda jkt ni kazi zamikono asilimia 99 kuliko kushika bunduki?

Vinginevyo mpeleke mwanao akasomee unesi ama ualimu.


Hingereni sana MATI Ntwara.
 
As long as kuna Trekta,planter,harvestor na Pembejeo nyingine nafikiri hakuna tatizo kijan kupata practical.Nafikiri nitapeleka kijana wangu mmoja hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Sitafuni maneno, chuo kama cha MATI Mtwara, ni kambi ya kupata manamba wa kufanya kazi kwenye Mikorosho, ufuta, alizeti, mpunga (kidogo), mahindi,mboga mboga za aina zote unazoweza kuzifikiria etc etc ya the so called chuo na vyuo vingine vya hivyo..
Katika kizazi hiki cha watoto wanao tembea na charger, hiki ndo chuo the best kwenda. Wakalime vizuri mno,

kulima kwanza kunakufundisha ukomavu katika nyanja mbali mbali. Akitoka hapo MATI akija mtaani hato kuwa na tabia za kishoga shoga, sio mtoto anashikwa tako anacheka cheka tu hawi mkali.

Waende MATI ZOTE wakanyooshwe. Tena wote waende na jeshini, kuna MATI UYOLE pale wana bonge la shamba linaanzia Uyole mpaka Sai Nanenane stand, kudadadeki wakalime.
 
Katika kizazi hiki cha watoto wanao tembea na charger, hiki ndo chuo the best kwenda. Wakalime vizuri mno..
sasa wewe unakwenda nje ya mada! nshomile I guess you are!
 
Back
Top Bottom