Wazazi mmekuwaje?

Wazazi mmekuwaje?

Destine ya mtoto wa kike awe na kazi au hana kazi ni kupata mme! Stability ya binti ni mme! Utake/usitake hata kama wewe baba uko vizuri lakini ukiona binti yako yupo yupo tu ni shida! Tatizo ni kupata mme sahihi vinginevyo akiangukia kwa wavuta bangi ni shida zaidi!
Yaani jamii mtoto wa kike ataheshimika Zaidi akiwa ana ndoa hatakama Hana kazi lakini hata Uwe Na kazi nzuri kiasii Gani Na cheo kikubwa kama huna ndoa hutaheshimika kwenye jamii Yan utaonekana Ni mwizi wa waume ZA watu hatakama huna io tabia
 
Mabinti wote niliograduate nao chuo na kuolewa haraka wanaishi maisha duni. Cha ajabu wote walikuwa watumishi na watu wa imani, kasoro gumegume mmoja aliolewa na mzungu kibabu ana miaka kama 65 wako Marekani kwa sasa.

Hao walioolewa hawajapata kazi hadi sasa, na maisha sio mazuri kivile ukizingatia elimu yao hawajaitumia ama kuajiriwa ama kujiajiri. Kuna ambao nina ushahidi wanajutia na mwingine nimemchangia gharama za hospitali.

Mtu kamaliza chuo hajaenda intervie yoyote, hajaajiriwa au kujiajiri. Huyo mbio kafunga ndoa. Hapo ana honeymoon, akitoka analea mume, akitoka anapewa mimba, analea mimba, anajifungua, analea kichanga. Baada ya hapo tiyari hatakiwi kukaa mbali na mtoto, hawezi tena kuwa free kwenda interview siku ya interview mtoto anaamka anaharisha.

Unakuta hamna hamna miaka miwili imekatika wapo tu hamna hatua wamefanya. Familia changa inakula hela balaa, gharama za maisha zimepanda. Mke elimu anayo ila kazi hana.

Nashauri binti ukimaliza chuo focus kwanza kuwa na chochote cha kuingiza kitu. Ajiriwa kwanza, hivi nani atakuajiri private sector ukiwa na mtoto wa miezi 6 kila siku una dharura? Alafu entry level opportunities zina mizunguko mingi huiwezi ukiwa na ndoa changa na watoto wadogo.
Kazi za serikali chache. Unless uhakikishe unayeolewa naye anaweza cover kila kitu, mna nyumba na bima na cashflow ya kueleweka.
Waafrika bado wanaishi maisha ya ujima sana, wanawake wanawaza kuolewa zaidi kuliko kufanya maendeleo yao kwanza, mafanikio makubwa zaidi ya mwanamke ni ndoa!
 
Yaani jamii mtoto wa kike ataheshimika Zaidi akiwa ana ndoa hatakama Hana kazi lakini hata Uwe Na kazi nzuri kiasii Gani Na cheo kikubwa kama huna ndoa hutaheshimika kwenye jamii Yan utaonekana Ni mwizi wa waume ZA watu hatakama huna io tabia
Sikuhiz mambo yamegeuka walioolewa na waliooa wanaibiana wenyew Kwa wenyew 😂😂😂
 
Mbona watoto wa kiume ndio tunakazi zaidi..
Unaoa lini?
Basi pata mtoto ukoo utapotea..
Mtoto mmoj tu miaka yote, unashida gani?
Mbona sijawah kukuona na binti yyte, una shida gan?
 
Na mimi nishamkataza kuchanga hovyo! Cz hata nikifunga ndoa sitaki sherehe
Mfyuuu,jitunze binti kwa heshima ya baba yako na mama yako.
Kuna bint mmoja ndugu alipata ujauzito akiwa home(Sio mbaya ila haipendezi sana)
akaniambia Baba yake amemuambia mama yake amemwambia akakae kwa shangazi yake.Ila wazo alitoa baba.Anasema alisababisha mama yKe na baba yKe waanze kugombana,kisa baba anamlaumu mama hakusimamia mtoto wa kike vizuri.
 
Bora hata uniambie nimng'ang'anie Lucas Mwashambwa
ephen wanguu Nakupendaa Sanaa lazizi wanguu nakupendaa pasipo kutumia wala kukoma nakupendaa mpaka Sanaa ephen.niseme nini ephen wanguu upate kunielewa.au nibebe na kuhamisha mti wa maparachichi uliozaa na kuja kuuotesha hapo nyumbani ndio ujuwe namna navyokupendaa ephen wanguu
 
Mfyuuu,jitunze binti kwa heshima ya baba yako na mama yako.
Kuna bint mmoja ndugu alipata ujauzito akiwa home(Sio mbaya ila haipendezi sana)
akaniambia Baba yake amemuambia mama yake amemwambia akakae kwa shangazi yake.Ila wazo alitoa baba.Anasema alisababisha mama yKe na baba yKe waanze kugombana,kisa baba anamlaumu mama hakusimamia mtoto wa kike vizuri.
Una hasira ya nini? Tulia andika kwa utulivu
Una hoja usikilizwe..!
 
ephen wanguu Nakupendaa Sanaa lazizi wanguu nakupendaa pasipo kutumia wala kukoma nakupendaa mpaka Sanaa ephen.niseme nini ephen wanguu upate kunielewa.au nibebe na kuhamisha mti wa maparachichi uliozaa na kuja kuuotesha hapo nyumbani ndio ujuwe namna navyokupendaa ephen wanguu
Acha ngonjera! Leta mahari tuoane
 
Yaani jamii mtoto wa kike ataheshimika Zaidi akiwa ana ndoa hatakama Hana kazi lakini hata Uwe Na kazi nzuri kiasii Gani Na cheo kikubwa kama huna ndoa hutaheshimika kwenye jamii Yan utaonekana Ni mwizi wa waume ZA watu hatakama huna io tabia

Heshima inategemea unavyojiweka mkuu

Mfano Mimi kuna wanawake hawajolewa Ila nawaheshimu sana na waaheshimika Sana .

Hata Mimi sijaoa Ila nimesuluhisha ndoa nyingi .

Kuoa au kuolewa hakukupi heshima

Heshima inatokana na mipaka uliyojiwekea .

Unaweza kuwa umeolewa Ila haujieshimu waangalie wake za watu maofisini wanavyojiachia
 
Yaani jamii mtoto wa kike ataheshimika Zaidi akiwa ana ndoa hatakama Hana kazi lakini hata Uwe Na kazi nzuri kiasii Gani Na cheo kikubwa kama huna ndoa hutaheshimika kwenye jamii Yan utaonekana Ni mwizi wa waume ZA watu hatakama huna io tabia
Naunga mkono hoja,

Heshima ya Mwanamke ni ndoa,hela bila kua na Mume bado haileti heshima,
Raha ya kicheko uwe na meno.
 
Mkuu hakuna kitu mwanamke anapenda kama kupewa attention

Hiyo kuitwa mchumba anaipenda Sana .

Pia wnawake wanapenda kutongozwa hata kama kaolewa.
Heshima inategemea unavyojiweka mkuu

Mfano Mimi kuna wanawake hawajolewa Ila nawaheshimu sana na waaheshimika Sana .

Hata Mimi sijaoa Ila nimesuluhisha ndoa nyingi .

Kuoa au kuolewa hakukupi heshima

Heshima inatokana na mipaka uliyojiwekea .

Unaweza kuwa umeolewa Ila haujieshimu waangalie wake za watu maofisini wanavyojiachia
Mkuu unaweza kuwa unajiheshim Na mtulivu Lakin Kisa hujaolewa jamii inakua haikupi heshina
 
Back
Top Bottom