Wazazi mmekuwaje?

Wazazi mmekuwaje?

Mkuu tuangalia Logic kwanza

Heshima ya mwanamke inatokana na nini ?

1)kuolewa
2)anavyojiweka
3)anavyoishi na jamii yake
4)Mchango wake chanya dhidi ya WATU wngine.


Je unategemea kuvuna HESHIMA kutoka kwa jamii ya WATU wa aina gani?

Je heshima ya jamii inakuongezea nini na uliikosa unapungukiwa nini ?

Na unajua hakuna WATU wanaheshimika mtaani Kama watu ambao mambo yao ni private hawajulikani kama wameaoa au hawajaolewa.


So twende na LOGIC kwanza.
Uko sahihi unakuta MTU anajiheshim vizurii Sana anaishi vizur Lakin mwushowe utaskia Yule dada pamoja Na hiki Na Kile hajaolewa Yan mtoto Wa kike kwenye jamii ndoa inampa heshima
 
N
Toka hapa bwege mlima viazi wewe. Jichekeshe chekeshe tu wewe nenda kale wali maharage na akina nauye acha kujipendekeza kwa mpenzi wangu kenge wewe.
Uko sahihi unakuta MTU anajiheshim vizurii Sana anaishi vizur Lakin mwushowe utaskia Yule dada pamoja Na hiki Na Kile hajaolewa Yan mtoto Wa kike kwenye jamii ndoa inampa heshima


Mkuu lakini pia usisahau waoaji ambao na Mimi nikiwemo hatutaki kuoa so muda mwingine MTU kuolewa anataka Ila waoaji sasa
 
Mtu àmbaye hajaolewa au Kuoa kwèñye jamii huonekana NI mhuni na Malaya Kwa sababu hawezi kuishi Bila kufanya ñgono.

Sasa kama Mtu hawezi kuishi Bila ñgono Basi jamii huchukulia Moja ya mambo yafuatayo;
1. Anatoka na waume za Watu au wachumba za Watu

2. Ananunua Malaya
3. NI shoga au msagaji
4. Analala na Wake au wachumba za Watu
5. Anapiga punyeto, au anatumia dildo au anajisaga

Wewe kama Hun Mchumba Wala Mume haja zako za kingono unamalizia Wapi?
Kwa hiyo mkuu ,unafikiri kila mtu anaendeshwa na ngono🤣🤣🤣
 
ephen wanguu Nakupendaa Sanaa lazizi wanguu nakupendaa pasipo kutumia wala kukoma nakupendaa mpaka Sanaa ephen.niseme nini ephen wanguu upate kunielewa.au nibebe na kuhamisha mti wa maparachichi uliozaa na kuja kuuotesha hapo nyumbani ndio ujuwe namna navyokupendaa ephen wanguu
Unampenda kuliko CCM wewe chawa!?..
 
Mtu àmbaye hajaolewa au Kuoa kwèñye jamii huonekana NI mhuni na Malaya Kwa sababu hawezi kuishi Bila kufanya ñgono.

Sasa kama Mtu hawezi kuishi Bila ñgono Basi jamii huchukulia Moja ya mambo yafuatayo;
1. Anatoka na waume za Watu au wachumba za Watu

2. Ananunua Malaya
3. NI shoga au msagaji
4. Analala na Wake au wachumba za Watu
5. Anapiga punyeto, au anatumia dildo au anajisaga

Wewe kama Hun Mchumba Wala Mume haja zako za kingono unamalizia Wapi?
Cc dronedrake
 
Kwa hiyo mkuu ,unafikiri kila mtu anaendeshwa na ngono🤣🤣🤣

Siô Mimi ninayefikiri.

Ñgono NI Moja ya basic need Kwa Mwanadamu timamu.

MTU àmbaye hataki ñgono lazima awe Abnormal;
1. Afya yake inatatizo kûbwa hasa mambo ya mfumo wa vichocheo vya shauku ya ñgono na mfumo wa uzazi.
Mfumo wa uzazi upo automatic kwamba kûna Muda ubungo uta-command vichocheo vya Hamu ya ñgono

2. Anamapepo au Ñguvu za kiroho.
MTU mwenye Ñguvu za Giza au za kiroho Wakati mwingine HISIA za ñgono hutoweshwa.

Binadamu aliyekamilika ñgono siô tuu muhimu Bali lazima
 
Ina maana mkuu Robert Heriel Mtibeli ngono imekua hitaji la lazima.

Mimi sijaoa na sinunui Malaya wala kujichua nimefanya hivi makusudi ili hii nguvu ya kugonoka niitumie katika kazi .

So mtibeli ngono sio kila kitu

Kwa binadamu WA kawaida ñgono NI lazima Mkûu.
Labda kûna tatizo somewhere

Uliza madaktari au wanasaikolojia watakuambia.
 
Siô Mimi ninayefikiri.

Ñgono NI Moja ya basic need Kwa Mwanadamu timamu.

MTU àmbaye hataki ñgono lazima awe Abnormal;
1. Afya yake inatatizo kûbwa hasa mambo ya mfumo wa vichocheo vya shauku ya ñgono na mfumo wa uzazi.
Mfumo wa uzazi upo automatic kwamba kûna Muda ubungo uta-command vichocheo vya Hamu ya ñgono

2. Anamapepo au Ñguvu za kiroho.
MTU mwenye Ñguvu za Giza au za kiroho Wakati mwingine HISIA za ñgono hutoweshwa.

Binadamu aliyekamilika ñgono siô tuu muhimu Bali lazima
Issue za Kingono ni Issues za mindset tu mkuu, huko kwa mapepo na sijui nguvu za kiroho , ni mambo yasiyokua na mashiko
 
Back
Top Bottom