Wazazi mmekuwaje?

Wazazi mmekuwaje?

ephen wanguu Nakupendaa Sanaa lazizi wanguu nakupendaa pasipo kutumia wala kukoma nakupendaa mpaka Sanaa ephen.niseme nini ephen wanguu upate kunielewa.au nibebe na kuhamisha mti wa maparachichi uliozaa na kuja kuuotesha hapo nyumbani ndio ujuwe namna navyokupendaa ephen wanguu


Hakika Mama ametufikia tunabubujikwa na machozi
 
Tuache utani km Wewe ni mzuri km Mama yako anavyosema msikilize Mama yako njoo nikuoe achana na Lucas Mwashambwa
Naona unataka vita na mimi.umechagua vita ambayo utajutia kupigana.kwa ephen unachezea moto kwa ulimi wako au kuonja sumu kwa ulimi. Hapo usiguse hata kidogo maana ndio moyo wangu ulipo.utapigwa kutoka kila pande ya mwili wako na usijuwe umepigwaje.
 
Mkuu ephen_ ni Jambo jema kwa wazazi kufanya hivyo niko hapa kukuomba tena ikiwa bado haujaolewa naomba nikuoe binti maana sidhani Kama mkuu Lucas Mwashambwa atakuoa na hizi pilika zake za uchaguzi 2025 namuona akifia majukwaani alafu hasahau ndoa kabisa
Acha ujinga wako hapa wewe. Naomba usimguse ephen.huyo ndio mboni yangu. Kumgusa ni kujitafutia matatizo yatakayokuumiza maishani mwako
 
Naona unataka vita na mimi.umechagua vita ambayo utajutia kupigana.kwa ephen unachezea moto kwa ulimi wako au kuonja sumu kwa ulimi. Hapo usiguse hata kidogo maana ndio moyo wangu ulipo.utapigwa kutoka kila pande ya mwili wako na usijuwe umepigwaje.
Acha mikwala ya Nanasi mkuu,nje miba ila ndani tamu tu.
 
Mkuu unaweza kuwa unajiheshim Na mtulivu Lakin Kisa hujaolewa jamii inakua haikupi heshina


Mkuu jamii ya aina gani unategemea ikupe heshima ?

Katika maisha unabidi uwe na watu wachache ambao wanabidi kukupa heshima na sio kila MTU .

MTU yeyote mwenye heshima na anayejitambua hawezi kumdharau mwanamke yeyote kisa tu hajaolewa


Mtazame Jokate
 
Habari!
Nilipomaliza chuo nilipatwa na mkasa. Ile nimemaliza tu mitihani nikamtaarifu mama, tukaongea tu vizuri kwa muda mfupi chumbani kwake, sasa wakati natoka nje akaniuliza swali 'kwahiyo ushapata mtu wa kukuoa?' moyo ulishtuka halafu chap nikaendelea na safari hapo nikajifanya sijamsikia.

Ikawa wimbo anaoupenda 'ushapata wa kukuoa? Nikawa namwambia sipo tayari kwa sasa nikimjibu hivyo anaanza kutoa risala 'unajua inabidi uolewe mimi najisikia vibaya kukuona tu hapa nyumbani'
Siku moja nikamwambia mimi sijapata hata wa kunioa, akasema 'uzuri wote huo hakuna aliyesema anataka kukuoa' ilibidi tu nicheke mimi nilikuwa nishasoma akili yake kwamba uoga wa maisha unamsumbua.

Ishapita miaka 3 tokea kisa hiki kitokea, juzi nikasema acha niwaulize wenzangu kama wanakutana na maswahibu kama yangu sababu huu wimbo mama yangu bado anauimba.

Rafiki yangu FLORA
Yeye aliniambia alivyomaliza Mitihani alichelewa kurudi nyumbani kwa miezi kadhaa, sasa kuna siku akaumwa akalazwa mama yake alivyoenda hospital akamkuta Flora yupo na boyfriend wake ila huyo bf akawapisha waongee.

Mama yake akamuuliza 'huyo kijana ni nani' Flora akamjibu ni rafiki yake.
Mama yake akamwambia bills ni kiasi gani ili alipie! Flora akamwambia 'rafiki yangu ameshalipia' mama yake akaguna.

Sasa Flora alivyorudi kwao, mama yake akaanza kuimba nyimbo kila mara 'Yule rafiki yako yuko wapi akuoe kuliko kushinda ndani kila siku' Flora akaishia tu kucheka.

Rafiki yangu REBECCA
Yeye alikuwa anabanwa sana, ni wale watoto geti kali. Alivyomaliza chuo kuna siku akamuomba mama yake ruhusa ya kwenda kumsalimia rafiki yake. Mama yake hakumuuliza maswali mengi kama alivyokua anafanya hapo awali.

Jioni mapema Rebecca aliporudi mama yake akamwambia 'Mbona umerudi mapema' akamjibu nilienda kumuona tu mara moja
Mama yake akamwambia 'Ebu tembeatembea wachumba wakuone sio kujifungia tu ndani'

Ila ameniambia huo wimbo mama yake aliuacha baada ya yeye kupata kazi.

Rafiki yangu ASHA
Huyu ndiye amenichekesha sana, anasema tulivyomaliza chuo baba yake akawa anamwambia 'fanya uolewe sitaki kukuona nyumbani kwangu'

Kuna siku akaenda kazini kwa baba yake akamkuta yupo na wanaume wengine akawasalimia.
Kijana mmoja akamwambia mzee wake kwamba hakujua kama ana binti mkubwa vile! Mzee wake akajibu 'Huyu ni binti yangu kamaliza chuo mwaka huu na bado hajaolewa' wote wakaishia kucheka.

Haikupita miezi mingi baba yake akamletea mchumba, ubani ukachomwa sasa hivi yupo kwenye ndoa.

Nilichokiona wazazi wengi ambao hawajajipata kazi wanayotupa watoto wa kike ni kuolewa tena kama mtoto hajapata kazi ya kufanya.

Ila ukiwa na kazi nzuri unapata pesa, hii risala ya kuolewa hawatoi hata ukifikisha miaka 40.

Sasa sijui wa kulaumiwa ni CCM, wazazi wetu au sisi watoto.
Hii iinatokana na wivu wetu wazazi kwa wakwe zetu hasa ambao tunategemea kipato cha watoto, maana akiolewa anawajibika kwa mumewe. Kama hajaolewa anawajibika kutuma hela kwa wazazi. Hivyo mzazi anaomba usipate mwenza azidi kupata posho
 
Mkuu Kuna reality Yan reality iko palepale


Mkuu tuangalia Logic kwanza

Heshima ya mwanamke inatokana na nini ?

1)kuolewa
2)anavyojiweka
3)anavyoishi na jamii yake
4)Mchango wake chanya dhidi ya WATU wngine.


Je unategemea kuvuna HESHIMA kutoka kwa jamii ya WATU wa aina gani?

Je heshima ya jamii inakuongezea nini na uliikosa unapungukiwa nini ?

Na unajua hakuna WATU wanaheshimika mtaani Kama watu ambao mambo yao ni private hawajulikani kama wameaoa au hawajaolewa.


So twende na LOGIC kwanza.
 
Mtu àmbaye hajaolewa au Kuoa kwèñye jamii huonekana NI mhuni na Malaya Kwa sababu hawezi kuishi Bila kufanya ñgono.

Sasa kama Mtu hawezi kuishi Bila ñgono Basi jamii huchukulia Moja ya mambo yafuatayo;
1. Anatoka na waume za Watu au wachumba za Watu

2. Ananunua Malaya
3. NI shoga au msagaji
4. Analala na Wake au wachumba za Watu
5. Anapiga punyeto, au anatumia dildo au anajisaga

Wewe kama Hun Mchumba Wala Mume haja zako za kingono unamalizia Wapi?
 
Mwanamke asieolewa ilihali umri wa kuolewa umeshatimia ni sawa na chai bila sukari💔
Dada olewa kuto olewa sio sifa njema en no eligible woman can be proud of being unmarried unless otherwise is having mental health problem
 
Back
Top Bottom