Wazazi mmekuwaje?


Angalia usipende sana mpaka ukambebea na tumbo 🤣🤣🤣
 
Unaambiw hvyo ili kulnda heshima ya familia yako ,

Ukila na kulala utaishia kudanga mtaan na kuzalishwa

Ukipata kazi kwanza kiuhalisia wanaamini unauwez wa kujisimamia na kujitawala mambo mengine hayawahusu
 
Hili chama linaokoa mengi mkuu, vijana hawataki kusikia gesi imeisha ghafla.

😁😁😁 kikubwa nikupoa na mshangazi ukishindwa kabisa tafuta kizazi cha dhahabu 2000s

Usiguse singo maza wala namba za katikati 25s utaumia
 
Hata wakizalia nyumbani wewe ni furaha kama mzazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…