Wazazi mmekuwaje?

Hizi dharau ndio kitu sipendi. Kim Jong Un anakutana na Trump DMZ na wanabonga safi tu. Sembuse mimi chalii na wewe mmatumbi/mmwera?
Kwa lugha gani! Nitaambiwa nimepeleka mvuta bhangi
Ongea maneno yaliyonyooka
 
KAMA SIO BIKRA HANA HADHI YA KUOLEWA
 
Heshima ya mwanamke ni kuolewa bila kujali una ajira rasmi au la!
Mzazi kushauri uolewe ni kutaka kukuheshimisha.
Ukiendelea kucheka na vijana nao wataendelea kucheka na wewe badae utalia wao wanacheka.
 
Wazazi wanataka uolewe kwasababu mbili. Kwanza, wanataka uolewe kwasababu wanataka maokoto na wewe umeshakuwa mkubwa hivyo basi upate mwenzako wa kusaidiana kuwalea na kuwanyanyua wadogo zako hiyo wanameweka ni lazima vichwani mwao.

Pili wazazi wanayajua maisha. Maisha kuyajua ni lazima ufike miaka kuanzia 40 kwenda juu. Hapo ni umri ambao hata wale wasio serious na Maisha wataanza kuwa serious bila kutaka. Ingawa wapo ambao wanaanza kuwa serious mapema sana ila ile inakuwa sio imara kama hii ya umri wa kuanzia miaka 40+.

Wazazi wengi kwa miaka yetu hii wameshavuka umri huo na wapo huko 60+. Hivyo basi, wewe kama binti wanakutazama namna unatumia uzuri wako kushangaa shangaa mjini ukipiga picha za kupost Instagram badala ya kuutumia uzuri wako kukamata bwege fulani na kumpa hamasa ya kujenga maisha bora na wewe na kujiwekea future ya kueleweka nae pamoja yaani mume.

Wengi mnatumia wakati huu kupuyanga halafu umri wa miaka 30 ukifika mnaanza kusumbuana na wanandoa mkitaka wenzenu walioanza kuyajenga maisha kitambo wawapishe ninyi muingie. Haya ndio madhira wazazi wako wanataka kukuepusha nayo.

Kimsingi wazazi wako wanataka kukufundisha kuishi kimkakati na sio kama mwanaharakati wa haki za wanawake. Wanajua utakwenda kwama wapi, ndio maana hata feminists mwenye kelele tele akifika tu kuanzia miaka 45 huwa ukweli unamzidi nguvu anaacha kubwatuka kama jibwa la kizungu.

Anyways, naomba tu nikuelekeze kuwa uwe mpole , wasikilize wazazi wako wanachokutaka ufanye wanajua unakwenda kukosea wapi, wasikilize wana hoja ya msingi sana. Kaza fuvu utakuja kuelewa kwa matendo ule msemo wa asiyesikia la mkuu huvunjika guu na mdharau mwimba mguu huota tende.
 
Hapana sio kweli kitu kipya ni kipya tu, na mtumba ni mtumba umalaya ni wakurithi
Jidanganye,umalaya ni chaguo.
Oa bikira halafu nje akutane na mishindo ya masela,hadi kwa mparange anatoa.
Ukikua utaelewa.Umalaya hauna ubikra umalaya ni chaguzi.
Wapo wameolewa wakiwa sio bikra ila wametulia katika ndoa zao,wapo wameolewa mabikra na wanagawa mpaka nyaaa huko nje.
Kua kwanza ndio utaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…