Kajaza vima kichwani au yupo kusaka watejaMadam achana naye huyo kijana.
Kwanza mtu ambaye hajui kutumia kauli nzuri na anayeendekeza matusi hasa kwa jinsia ya kike ni eidha mdogo kiakili ama hana busara na ajielewi.
Na unavyozidi kumjibu unampa credibility.
Muache na UPUMBAVU wake.
Ila huyu ephen_ ni Lucas Mwashambwa ndio anamuweza.Huu ni mpango wa wabaya wangu hapa JF kunichafulia na kuniharibia tu ndugu yangu
😁😁 mangi kula mtori nyama zipo chini .Meku. Mbona unanibania white arif? Ina maana hutaki tule ng'ande na mafido hapo mndenyi? Na wari na kila kindo?
Àchana na huyo mlima viazi bana sisi tunaongelea mambo ya ku invest kwenye prrojects kubwa kubwa yeye anaongele kububujikwa na machozi kama mmama alie kwenye msiba.Ila huyu ephen_ ni Lucas Mwashambwa ndio anamuweza.
Kada mkubwa wa CCM huyo mkuu usije ukatekwa na wasiojulikana.Àchana na huyo mlima viazi bana sisi tunaongelea mambo ya ku invest kwenye prrojects kubwa kubwa yeye anaongele kububujikwa na machozi kama mmama alie kwenye msiba.
Daaah asee. Kumbe ulikuwa unani like tu kuni enjoy meku? Leka mnama?😁😁 mangi kula mtori nyama zipo chini .
Oya dingi hivi watu huwa mnaogopa nini? Kufa au maumivu kabla ya kufa?Kada mkubwa wa CCM huyo mkuu usije ukatekwa na wasiojulikana.
Ode mnama , siwezi fanya hivyo bwasheDaaah asee. Kumbe ulikuwa unani like tu kuni enjoy meku? Leka mnama?
Dea mnama. Lukundiane nincha tubuuOde mnama , siwezi fanya hivyo bwashe
Ameshaona wapi wachaga ni ma andunje?? Huyu binti nenda nae taratibu tuu...ataelewa...😃😃😃Sister i am 185cm+ tall ananiita andunje asee kwanini?
Eeeh anaanza ugomvi kabla?
Hahaha. Mwambie bana mimi si mpareAmeshaona wapi wachaga ni ma andunje?? Huyu binti nenda nae taratibu tuu...ataelewa...😃😃😃
Assurance ya kwanza nampa...mchaga haachi damu yake...mengine mtamuongezea...Hahaha. Mwambie bana mimi si mpare
Nisipo kuwa🤔Wewe tatizo ni timu kataa ndoa
Tayari🤗Usiwe kwanza