Wazazi mmekuwaje?

Ningeona athari yoyote kwenye maisha yangu nje ya kuitwa ephen ningeacha kabla hata ya kupewa ushauri na yeyote.

Unavyokuja ndivyo ninavyokupokea, wewe unaumia wapi ili nikupulize?
Mimi sio niliyetoa huo ushauri ko sina kinachoniumiza

Ila huu uzi wako umenionesha wachumba wengi sana(kwa kufuata ushauri wa mdau wewe unaweza usiwepo)
 
Wewe na aliyeleta ushauri Manyanza mnawaza sawa tofauti ni kwamba wewe nimechagua kukujibu yeye nikamdharau

Mbwembwe zote mwisho wa siku unauliza kama jimbo liko wazi!
Siwezi kujibu maswali mepesi
Hapana mimi nipo tofauti na mkuu hapo, mimi wachumba nilioona kwenye huu uzi wako wananifaa(means naweza kumpata wa kufa na kuzikana humu) na siyo wachumba ulionao wewe

Mkuu ushauri wake tusikuite mchumba au usiwe unakubali kirahisi tukikuita mchumba ukawa unalidhika(mimi nimeelewa hivyo)
 
na wewe mbea
yaani umechunguza wee daah umetisha πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…