Wazazi mmekuwaje?

Mama mkwe mlokole wale wa kufunga siku 7 za wiki hataki kuwasikia wavaa kanzu, binti akikosa mume miaka 2 hii naona anaenda kubaya sana
 
Mama mkwe mlokole wale wa kufunga siku 7 za wiki hataki kuwasikia wavaa kanzu, binti akikosa mume miaka 2 hii naona anaenda kubaya sana
Kwa nilipofikia hata kanisani nitaingia kusali ,kikubwa binti anipende na anijali tu ,umri unakimbia na wanakijiji niliwaahidi kuoa mwaka huu baada ya kikao Cha Kijiji kudai nawaharibia watoto wao
 
Sasa utaolewa vipi na PM umeifunga? Hebu fungua haraka wawekezaji wa ndani tuje kufanya uwekezaji haraka iwezekanavyo
 
Kwa nilipofikia hata kanisani nitaingia kusali ,kikubwa binti anipende na anijali tu ,umri unakimbia na wanakijiji niliwaahidi kuoa mwaka huu baada ya kikao Cha Kijiji kudai nawaharibia watoto wao
Tatizo nakusoma kiutani cuzo natamani asitirike kukwepa mabalaa, nilikuwa nasoma tu story za watu lakini nayashuhudia kwa macho yangu hali imebadilika sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…