kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Kitu cha ajabu serikali kila ikitoa maelezo hayafuatwi ,yan nchi hii hakuna utaratibu maalum unao ongoza shule wengine wanatoka saa 8:30 mchana ,wengine saa 9:30 mchana ,wengine saa 11 jion wengine likizo wanafunga wengine hawafungi mikoa mingine ijumaa masomo mwisho saa 6 mchana wengine saa 11 jion yani kila mtu anajiamlia anavyo taka.Umeandika point kubwa sana mkuu inafikia hatua mpaka jumapili watoto wanatakiwa waende shule nadhani hii ni kuwafaidisha walimu zaidi na pesa za mikakati na mitihani isiyo na faida .
Kwa tanzania kusoma ni adhabu sanaIna huzunisha mtt anaamshwa saa 11 aende shule mzazi anarudi kulala
Mbona sisi enzi zetu tulisoma shule nasomo yanaanza saa moja na nusu hadi saa nane kamili shule za serikali na binafsi utaratibu ulikuwa huo. Masomo ya ziada ya kulipia ilikuwa hiari ya mzazi.Kitu cha ajabu serikali kila ikitoa maelezo hayafuatwi ,yan nchi hii hakuna utaratibu maalum unao ongoza shule wengine wanatoka saa 8:30 mchana ,wengine saa 9:30 mchana ,wengine saa 11 jion wengine likizo wanafunga wengine hawafungi mikoa mingine ijumaa masomo mwisho saa 6 mchana wengine saa 11 jion yani kila mtu anajiamlia anavyo taka.
Ukiuliza unaambiwa utaratibu wa mkoa sijui wilaya mara shule ndiyo imeamua yani fujo tupu. Elimu bongo sarakasi tupu.
Sasa sikuhizi watoto kwanza wanabakizwa shule hadi muda wa likizo hadi mzazi unajiuliza kulikoni hii elimu ya miaka hiiMbona sisi enzi zetu tulisoma shule nasomo yanaanza saa moja na nusu hadi saa nane kamili shule za serikali na binafsi utaratibu ulikuwa huo. Masomo ya ziada ya kulipia ilikuwa hiari ya mzazi.
Nakumbuka nikienda mikoani nilikuwa nawaona wanasoma hadi saa sita halafu wanaenda nyumbani halafu saa nane wanarudi shule hadi saa kumi.
Wazazi wengine hawajui kama wana mamlaka ya kuamua watoto waspend muda gani shule.Hao watoto wana wazazi, wazazi wameamu kufanya hivyo kwa watoto wao, hakuna shule inaweza amua kama mzazi hajaridhia.
Niliamua kuwa nawapeleka watoto shule asubuhi na kuwarudisha nyumbani, na hakuna ratiba ya ziada kwao.
Elimu sijui imekuja kuwaje hapa kati😀😃
Halafu kweli mkuu.
Mama anaandaa watoto, halafu yeye anarudi kuuchapa.
Anaamka saa 2 kwenda kwenye mambo yake.
Kuna shule anasoma mtoto wa jirani wanaenda had j2, afu ni private.Umeandika point kubwa sana mkuu inafikia hatua mpaka jumapili watoto wanatakiwa waende shule nadhani hii ni kuwafaidisha walimu zaidi na pesa za mikakati na mitihani isiyo na faida .
Nawaonea huruma mno, mtoto begi kubwa limejaa had kubeba anashindwaa.Mtoto ana madaftari 20 vitabu 30
Wengine wanatoka mchana saa 7 wengine saa 12 jioniShule wanaenda asubuhi ya saa ngapi na wanaotoka saa ngapi?
Please share hayo maarifa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuinua begi lake uwe umeshiba, mtoto mgongo umepinda kama mtego...
Kwani mwanzo ilikuaje? Hapo zamani?Niliwahi kuuliza swi mahali kwamba hatuwezi copy mtala wa Internationl school na kuutumia shule za kawaida?
Naunga mkono hoja....Wazazi, mnashirikiana na shule kuwatesa watoto.
Vitoto vyenyewe bado vidogo, miaka 11-13, vinaamshwa saa 10 au 11 alfajiri kuwahi shule. Wanawahi nini exactly?
Na bado watakaa shule mpaka saa 12 kisa remedials, kurudi nyumbani saa 1 jioni.. mtoto anafika hoi, hajiwezi, hajacheza, hajafanya hobby zake. Kateseka tu.
Yote kwa faida gani?
- Mitihani ya darasa la saba haina umuhimu tena kama ilivyokuwa.
Wenye shule wanawatumia watoto wetu ku-market shule zao ili waonekane wana average ya A, ilhali hata kwa C mtoto anaenda zake secondary school. Au mnataka wakasome St. Francis na Marian? Shule zipo tu. Waliosoma huko si tumewaona chuo na mitaani tunao.
- Masomo ya ziada si kwa kila mwanafunzi kama ambavyo hizi shule zimewaaminisha. Mwanao kipanga, remedials za nini?
Acha wanaostruggle ndo wapambane.
Obviously, wanaunda tu room ya kupiga hela ya michango ya hapa na pale.
Mwisho, tuache watoto wakue kwa amani. Hizo efforts tuzitie form 4 na kuendelea, watakuwa wamekuwa wakubwa na matokeo ya form 4 yana impact mpaka kwenye admission ya chuo, so ni muhimu. Siyo darasa la saba.
Wazazi, mnashirikiana na shule kuwatesa watoto.
Vitoto vyenyewe bado vidogo, miaka 11-13, vinaamshwa saa 10 au 11 alfajiri kuwahi shule. Wanawahi nini exactly?
Na bado watakaa shule mpaka saa 12 kisa remedials, kurudi nyumbani saa 1 jioni.. mtoto anafika hoi, hajiwezi, hajacheza, hajafanya hobby zake. Kateseka tu.
Yote kwa faida gani?
- Mitihani ya darasa la saba haina umuhimu tena kama ilivyokuwa.
Wenye shule wanawatumia watoto wetu ku-market shule zao ili waonekane wana average ya A, ilhali hata kwa C mtoto anaenda zake secondary school. Au mnataka wakasome St. Francis na Marian? Shule zipo tu. Waliosoma huko si tumewaona chuo na mitaani tunao.
- Masomo ya ziada si kwa kila mwanafunzi kama ambavyo hizi shule zimewaaminisha. Mwanao kipanga, remedials za nini?
Acha wanaostruggle ndo wapambane.
Obviously, wanaunda tu room ya kupiga hela ya michango ya hapa na pale.
Mwisho, tuache watoto wakue kwa amani. Hizo efforts tuzitie form 4 na kuendelea, watakuwa wamekuwa wakubwa na matokeo ya form 4 yana impact mpaka kwenye admission ya chuo, so ni muhimu. Siyo darasa las
Mdogo wangu wa darasa la 4 anaamka saa 11 saa 12 kamili anakua darasan saa 10 wanamaliza masomo then remedial inaanza untill saa 2 usiku. Saa 2 ndio unamuona nyumbani tena sometimes hatuonani ata siku mbiliWazazi, mnashirikiana na shule kuwatesa watoto.
Vitoto vyenyewe bado vidogo, miaka 11-13, vinaamshwa saa 10 au 11 alfajiri kuwahi shule. Wanawahi nini exactly?
Na bado watakaa shule mpaka saa 12 kisa remedials, kurudi nyumbani saa 1 jioni.. mtoto anafika hoi, hajiwezi, hajacheza, hajafanya hobby zake. Kateseka tu.
Yote kwa faida gani?
- Mitihani ya darasa la saba haina umuhimu tena kama ilivyokuwa.
Wenye shule wanawatumia watoto wetu ku-market shule zao ili waonekane wana average ya A, ilhali hata kwa C mtoto anaenda zake secondary school. Au mnataka wakasome St. Francis na Marian? Shule zipo tu. Waliosoma huko si tumewaona chuo na mitaani tunao.
- Masomo ya ziada si kwa kila mwanafunzi kama ambavyo hizi shule zimewaaminisha. Mwanao kipanga, remedials za nini?
Acha wanaostruggle ndo wapambane.
Obviously, wanaunda tu room ya kupiga hela ya michango ya hapa na pale.
Mwisho, tuache watoto wakue kwa amani. Hizo efforts tuzitie form 4 na kuendelea, watakuwa wamekuwa wakubwa na matokeo ya form 4 yana impact mpaka kwenye admission ya chuo, so ni muhimu. Siyo darasa la saba.
m
Serikali eti😀😀ni private?