Wazazi na ndugu wa mke wangu wananikosesha raha

Hahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanakuka mnoo kama mchwa
Mama mkwe naye anataka kukupa mzigo, et mwez wa nne huu hujala mzigo umejua kutuongopea man uko vizur kwa stor
 
Inaonekana Mpwapwa ndio kwenu, waambie hao ndugu zako warudi kijijini, wanampa tabu mshikaji.
 
Je, mkeo ni mjamzito anaposema akipata mtoto wamsaidie kulea? Kama ndio mwambie mwenye jukumu hilo ni mama yako
 
Mpwa.hoyee kama.ndio.hujapenda waambie nduguzako watakosa vyote. Namjorekebishe
 
Kama chai umechangia nini
 
Nakuonya kuhusu kuondoka dawa hamisha vitu vyote muhimu hapo hifadhi hata kwa majirani, Wagogo ukiondoka ukawaachia vitu utakuta nyumba nyeupe haina kitu, ole wako ile siku wataimba sana nyimbo za kilugha chao utaisoma, inaonekana umelewa cheupe dawa wale wenye golori chapa ya uso.

Wana vitako fulani ngongi Refractive kimkunjo danceee.
 
Unajua familia nyingine sijui wakoje
Yaani hili nalo Hadi waambiwe niswala la kujiongeza tuu

Me Nina ndg zangu wameolewa amini usiamini sipajui hata wanapoishi Hadi wakati mwingine naletewa malalamiko na waume zao kuwa kwanini huji kutusalimia utie baraka lakini Sina time kabisa
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa vile wewe ni mpangaji nakushauri uhame nyumba. Unakotafuta tafadhali panga chumba moja. Wakivumilia ujue kwa familia ulioolea hauto toboa.
 
Kwani ww ni yatima? N ww walete wako pia. Unakuta wako wanateseka ukoo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]amekubali
 
Leo usiku au kesho ukirudi, ingia room kamata mkeo piga mashine hasa.... Yaani unahakikisha unapiga mikito ya nguvu; Hakikisha unapeleka moto hadi anajisahau kuwa kuna ndugu zake anaanza kupiga kelele (hakikisha unapiga shoo kwa minimum masaa mawili-Kama huwezi shoo ndefu mpakie mkongo). Fanya hivi siku tano mfululizo.

Wasipoaga mmoja mmoja au kwa pamoja, njoo uchukue hela.
Acha uzembe, yaani unashindwa kuto.mba mkeo kisa ndugu zake wamejaa? Utatomb.ewa na vijana wa bodaboda.
Endelea kukaa kizembe tu.
 
Rafiki yangu mmoja alinishauri labda nimtongoze mama mkwe lengo achukie aondoke na mmewe lakini cha ajabu amekubali 😥😥😥😥
Ukisikia mikosi ndio hii sasa. Kwaiyo sahv unakula mama mkwe?
 
Wataftie nauli uwapatie uwambie warudi kwao maana hali yako ya uchumi na kifamilia haipo vizur sahv kutokana na majukumu kukulemea na una Malengo yako unaitaji kuyatimiza. Mkeo akizingua na yeye mpe nauli aondoke nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…