Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Habarini wana jamvi,
Nmesukumwa kuleta hii mada sababu nimekumbuka kitu nikaishia kucheka tu. Mwaka jana mtoto wangu wa pili alipelekwa kuandikishwa shule na mzazi mwenzangu lakini jioni nikakuta timbwili sababu dogo alikua kapoteza begi lote la madaftari.
Mama ake alikua anakaribia kumuadhibu ila nlipofika nikamwambia aniachie hio kesi nimuadhibu mimi. Ilikua saa 12 hivi jioni nikatoka na dogo nikaenda kumnunulia begi jipya na madaftari ila nikampa warning kali sana hadi leo ni mtunzaji mzuri sana wa vitu vyake hasa vya shuleni.
Ila sababu kubwa ni kwamba mimi mwenyewe siku ya kwanza napelekwa shule miaka hio nliibiwa mfuko wote wa madaftari, na kwenye madarasa ya mbeleni niliibiwaga viatu na begi sabab nlikua nmevua nimeweka pembeni tunacheza mpira, game likanoga kuja kumaliza mchezo nilishaibiwa kila kitu nikarudi nyumbani peku af bila madaftari. Yaan nlipofikiria hilo nikakosa kabisa confidence ya kumuadhibu dogo.
Ww mzazi au mlezi ulishaona mwanao kafanya kosa gani ila ukakosa hata confidence ya kumuadhibu sababu na wewe yalishakutokea.
NOTE: Ni makosa madogomadogo tu ili tuburudishane, makosa makubwa lazima mtoto aadhibiwe hata kama mzazi nilifanya sababu nishajua madhara yake.
Nmesukumwa kuleta hii mada sababu nimekumbuka kitu nikaishia kucheka tu. Mwaka jana mtoto wangu wa pili alipelekwa kuandikishwa shule na mzazi mwenzangu lakini jioni nikakuta timbwili sababu dogo alikua kapoteza begi lote la madaftari.
Mama ake alikua anakaribia kumuadhibu ila nlipofika nikamwambia aniachie hio kesi nimuadhibu mimi. Ilikua saa 12 hivi jioni nikatoka na dogo nikaenda kumnunulia begi jipya na madaftari ila nikampa warning kali sana hadi leo ni mtunzaji mzuri sana wa vitu vyake hasa vya shuleni.
Ila sababu kubwa ni kwamba mimi mwenyewe siku ya kwanza napelekwa shule miaka hio nliibiwa mfuko wote wa madaftari, na kwenye madarasa ya mbeleni niliibiwaga viatu na begi sabab nlikua nmevua nimeweka pembeni tunacheza mpira, game likanoga kuja kumaliza mchezo nilishaibiwa kila kitu nikarudi nyumbani peku af bila madaftari. Yaan nlipofikiria hilo nikakosa kabisa confidence ya kumuadhibu dogo.
Ww mzazi au mlezi ulishaona mwanao kafanya kosa gani ila ukakosa hata confidence ya kumuadhibu sababu na wewe yalishakutokea.
NOTE: Ni makosa madogomadogo tu ili tuburudishane, makosa makubwa lazima mtoto aadhibiwe hata kama mzazi nilifanya sababu nishajua madhara yake.