Babuu Wesaki Kilauwo
JF-Expert Member
- Jul 10, 2024
- 357
- 488
Ikiwa unapinga maandamano basi jua ya kwamba unakubaliana na utekaji na mauji yanayoendelea nchini.gentleman,
punguza mihemko tu unapotoa maoni na mapendekezo yako dhidi ya maandamano haramu yaliyoandaliwa na chadema, haina haja ya ghadhabu kwa mwingine, tuwe wangwana na wastahimilivu kidogo katika kupokea maoni tofauti na ya wengine π
Brother hebu soma msg zangu vizuri mimi sijapinga kuandamanaSikia we mshamba, ikiwa we hutaki kuandamana zuia watoto wako, acha wengine waandamane, fala wewe.
Maandamano ya Amani ni rukhsa, hata wakatoliki leo wameandamana kwa Amani sana Taifa...Ikiwa unapinga maandamano basi jua ya kwamba unakubaliana na utekaji na mauji yanayoendelea nchini.
Kwa kweli kama Abdul kaamua KUANDAMANA #September 23 TO REMEMBER yeye mzazi mwenzako kutishia kulaani kwa kuvua nguo kwenye madhabahu hiyo ya devil kingdom ni ujinga labda mshauri mkazae mwingine hata kwa kupandikiza pale MOI.Kwani shida ni uzazi?Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
Maandamano yatakuja ila hayatakuwa ya CHADEMA.Na siku hiyo Akili za watawala pamoja na polisi wao zitakaa sawa.Leo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
SAMIA MUST GO, SEPTEMBER 23 TO REMEMBER YES, SHE MUST GO!halafu mipumbavu zaidi inajikusanyana kwenye maandamano haramu yaliyopigwa marufuku, ili ikavunjike viuno, taya, miguu na mikono kwa kiburi, jeuri , ukaidi na Mihemko isiyo na maana yoyote, aise dah...
aise tatizio la afaya ya akili linasambaa kwa kasi sana saivv dah π
Ni maandamano ya kupinga vijana wa ccm (chinjachinja) kushindwa hoja na kuteka watu na kuwaua.Maandamano ya CHADEMA ndiyo kitu gani Mkuu?
Sema wazaz wako usitusemee sisiLeo wakati wa maandalizi ya mwisho kwaajili ya ibada na maombi maalumu kesho Jumapili yenye dhumuni la kuiombea nchu yetu amani, Mzazi moja kwa niaba ya wazazi wenzie mbele ya vijana walioshiriki maandalizi ya ibada hiyo maalumu ya kuombea nchi amani,
Aliongea kwa uchungu mkubwa huku akiwa mkali akikaripia vijana hao kuwaeleza na wenzao kupitia magroup ya mitandao mbalimbali ya kijamii, kutothubutu kushiriki maandamano hayo haramu yaliyopigwa marufuku na polisi Tanzania...
Mimi ndie nilie kuzaa. Mimi ndie ninaekupa chakula, nakupa malazi na hayo mavazi unayoyavaa, CHADEMA wamewahi kukupa chakula au chimba cha kulala? Alifoka mzazi huyo ambae pia ni mzee wa kanisa...
Mimi ndie nilie lipa ada za shule nikakusomesha kwa tabu sana, na bado sijashindwa kukulea mpaka hata uzeekee hapa nyumbani lakini uko salama....
Hao CHADEMA walikuwa wapi wakati mimi nahangaika kuyafanya haya yote kwaajili yako, eti leo ndio wakuone wa maana na kutaka ukaandamane kwa manufaa yao na familia zao? Kama wanataka wawasaidie si wawape ajira basi?
Si wakaandamane wao na familia zao? Kwanini watumie watoto wetu kuandamana na kuleta fujo na uharibifu? Mzee huyo aliendelea kuwakanya na kuwaasa vijana hao...
Nini maoni yako kwenye hili la wazazi kuwapenda na kuwapigania watoto wao dhidi ya kurubuniwa na vyama vya siasa na wana siasa waliopoteza uelekeo nchini?
Mungu Ibariki Tanzania..
Furugu huletwa na ccm, mfano uchaguzi wa Sombetini Arusha tulishuhudia vijana wa ccm wakikata watu na mapanga yaliyokuwa ndani ya gari aina ya Land Cruiser mkonge akiwemo Merry Chatanda kipindi hicho akiwa katibu wa ccm mkoa wa Arusha na Polisi wakishuhudia pasipo kuchukua hatua.Maandamano ya Amani ni rukhsa, hata wakatoliki leo wameandamana kwa Amani sana Taifa...
Ila maandamano ya haramu yenye chuki, fujo, uharibifu na maafa kama hayo ya Chadema ni batili na ni laana π
nadhani chini ya huyu mama Dr Samia Suluhu Hassan hiyo itabaki historia, hapata tokea vurugu za uchaguzi tena TzπFurugu huletwa na ccm, uchaguzi wa Sombetini Arusha tulishuhudia mapanga yakiwa ndani ya gari aina ya Land Cruiser akiwemo Merry Chatanda kipindi hicho akiwa katibu wa ccm mkoa na Polisi wakishuhudia pasipo kuchukua hatua.
Kutekwa Soka na wengine pamoja na kuuliwa mzee Ally Kibao na serikali inajua na imekaa kimya pasipo kuchukua hatua kana kwamba vyombo vya ulinzi na usalama hakuna ndio uvunjivu wenyewe wa amani .nadhani chini ya huyu mama Dr Samia Suluhu Hassan hiyo itabaki historia, hapata tokea vurugu za uchaguzi tena Tzπ
nadhani uchaguzi wa ndani wa chadema ukiisha hayo yote pia yatakua yameisha..Kutekwa Soka na wengine pamoja na kuuliwa mzee Ally Kibao na serikali inajua na imekaa kimya pasipo kuchukua hatua kana kwamba vyombo vya ulinzi na usalama hakuna ndio uvunjivu wenyewe wa amani .
pamoja na kukaidi mawaidha, makatazo na ushauri wa wazizi,SAMIA MUST GO, SEPTEMBER 23 TO REMEMBER YES, SHE MUST GO!
We na Lucas akili moja. Sasa we mzazi sawa umenipa chakula umenisomesha. Je ni sawa nitekwe niuwawe?sasa mzazi wako amekukatia tamaa kwa sababu kiburi, udokozi, jeuri, ukaidi wako na uvivu wako,
na wamekukanya na kukuonya sana huachi tabia hizo na husikii hiyo ni juu yako sasa