Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na waache tamaa ni mbayaNdicho kinachokuja mkuu
wameanza kudate jamaa ana miaka 19 dem 31....kuna mapenzi hapo??jamani 😶
Upendo utatoka wapi kwenye tamaa?Kabisa....tatizo upendo hakuna
So many men have been leaving comments and replies like “i would’ve done the same thing.. gold diggers need to learn a lesson”Gold diggers katika ubora wenu
Kupikiwa kutakuwepo kwani? Ndoa ndo zinaenda kuharibikaHabari ndio hiyo, sasa hivi wanawake wasome wafuate ndoto zao wafanye kazi au biashara wanazozitaka, hakuna tena kufuata ndoto za mume
Kila mtu awe busy kutafuta pesa zake, mwanamke hata akiondoka asubuhi na kurudi usiku hatakiwi kuulizwa wala kulalamikiwa sababu naye anatafuta pesa zake, ili mwisho wa siku wakiachana naye awe na chake asidai cha mumewe
Na wanaume waache kelele za oo mke wangu hanipikii hanifulii hanipetipeti wala hanijali kama anavyowajali watoto maana kumbuka naye yuko busy kama wewe anatafuta pesa zake hapo ndoa ndio zitakuwa rahisi
mmh 🤔, kazi ipowameanza kudate jamaa ana miaka 19 dem 31....kuna mapenzi hapo??
someni tu aisee.....kwa staili hii lazima tupigane vikumbo...Umri ni namba tu mkuu
Wazazi pia wawafundishe upendo watoto ni muhimu kwa kesho yao. Wengi wanadhan kumpa mtoto mahitaji muhimu inatosha.Never....Yaan daaa
na bado ana utajiri wa mamilioni ya dola hiyo 50/50 ya nini 😂mmh 🤔, kazi ipo