Wazazi tusiache kusomesha watoto wa kike

Wazazi tusiache kusomesha watoto wa kike

Mnaenda kwenye Ndoa na ajenda zenu..

Nijitongozeshe,anioe nimuache nichukue 50%.nika enjoy.chukua Sasa..


Unataka umfananishe mama na mke (tena hawa wa kizazi kipya).Una kichaa???

1.Mama
2.Mama
3.Mama
4.Kaka/Dada/Watoto
5.mke

Hivi honestly speaking,kuna mwanamke wa kumpa thamani akakaa hata kwenye top 4 hapo???kama sio wanaume wachache wamebahatisha ndo wanaweza kumuweka hapo juu..mke

Kuna kitu kimepoteza thamani km mke nowadays??Unadhani vijana ni wajinga kukwepa kuoa???


Mimi mke wangu atakuja kukaa hapo kwenye 1 au 2 akifikisha miaka 45 bila mauzauza ndo naweza mzingatia nikamuweka hapo..

Kwa Sasa muache awepo ana hang hang.Hamna makubwa niliyopitia na yeye aka prove she deserves Seat no .1..

A woman has to prove she is the One..

Kama ambavyo mama Ali prove kwamba ana Mchango kwa kunilea Toka utoto mpk umri huu.Na yeye a prove kwamba nafasi ya mke anahistahili otherwise utampa mtu thamani kubwaaa mwisho wa siku Yeye ndo anakukwamisha...Nione kweli anastahili.

Na hapo kwenye ku prove ndo kipengele
 
Hata akiwa na pesa kiasi gani bado atataka apate na pesa za mwanaume ambazo hajatolea jasho hapo ndipo shida inapo anzia,pesa zangu na Mali zangu bora nimpe mama azifanye chochote anacho taka ni sawa tuu, sasa ni mwendo wa kuwa hakimi mwanzo mwisho
 
So many men have been leaving comments and replies like “i would’ve done the same thing.. gold diggers need to learn a lesson”
besides the obvious misogyny.

These men really need to get a grip and face reality.. you are broke..there is no gold to dig[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Broke like hakimi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Hakimi amewagusa kwenye mshono wazee wa 50/50.

Yaani To yeye na favour zote mnazopewa wanawake, mnavotetewa na jamii, serikali za nchi zote zinavyowaangalia kwa jicho la tatu, bado unaweka msisitizo wa nyie kuzingatiwa kielimu??
 
Mengine Yote Nakuachia Wewe Na Maono Yako Ila WATOTO WA KIKE TUWASOMESHE HASWA.
 
Nadhani mmeona wenyewe mambo aliyofanya ASHRAF HAKIMI na wanaume pia baadhi ya wanawake wanavyofurahia alichokifanya.

Mwanaume anamdharau mwanamke anamthamini mama yake. Yaani anamthamini aliyemzaa anamdharau aliyemzalia, namaanisha anamdharau mama anamweshimu mama, nadhani mmenielewa.

Kiufupi si wanawake tu hawajui wanataka Nini bali hata baadhi ya wanaume hawajui wanataka Nini.

Tusomeshe wanetu wa kike wawe na Kazi zao Ili wawe na Kazi wakiolewa mabwana zao wakiwachoka na kuwapa talaka wasiangaike na kumdhalilishwa kama hivi anabaki na Kazi yake na watoto wake.

Wanaume mnachukulia poa hili lakini ndo linaenda kuharibu mfumo mzima wa maisha ya ndoa. Kila mtu kwenye ndoa atakuwa busy kutafuta Mali yake alinde heshima yake.

Wanawake watazaa watasomesha huku wao wakijua mwanangu hata akioa mke Mali hazimuhusu.😭😭😭😭😭 Ee Mwenyezi Mungu kitetee kizazi chako.

Dunia ndo inaharibika, yaliyotabiriwa yanatimia yote. Aisee upendo hakuna tena.
Ngoja nikamuombe mama smartphone yake nije nijibu hichi unacholilia ila wewe umeolewa kama umeolewa andika Mali zako watoto wako ujanyimwa acha mihemuko
 
Hata akiwa na pesa kiasi gani bado atataka apate na pesa za mwanaume ambazo hajatolea jasho hapo ndipo shida inapo anzia,pesa zangu na Mali zangu bora nimpe mama azifanye chochote anacho taka ni sawa tuu, sasa ni mwendo wa kuwa hakimi mwanzo mwisho
Hakuna bhana
 
Back
Top Bottom