Mleta mada kusomeshwa wanasomeshwa, tatizo tamaa mbele, na binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Sawa nimeelewa mkuu, tusomeshe tu watoto wawe na Kaz zao ambzo hata wasipopewa huduma na mwanaume ztawasitiri kidogo
Nae ni mwanamke mkuu....na Ile ilikuwa ni ndoaWanawake bhana.
Naona wengi humu wanaangalia upande wa yule mke, ila hawavai viatu vya Yule mama. ( Hapa inazua maswali mengi )
Sasa najiuliza je yule mama wa Hakim Ashraf yeye sio mwanamke?
🤣🤣🤣Full kuvizianaMnaendekeza tamaa,kwani mke wa hakimi hana kazi,mali alikua nazo ila tamaa za kutaka zaidi zikamponza.
Unazaa na mtu watoto wawili mnalala mnaamka kumbe unawaza siku moja uende mahakamani udai talaka ili upate mali
Hakimi kaamsha akili za wanaume wengi zilizokua zimelala kizembe.mtanyooka tu
Wanawake matapeli hii ndio dawa yao sasa
🤣🤣🤣Macho yaliwaponza
Ila kuomba talaka na kutaka kugawiwa mali sawa kwa sawa huoni kuwa nao ni ubinafsi?Kabisa....Kwa ubinafsi huu🤔
Mbinafs na mchoyo Ni mke anaekimbilia kwny Mali wkt akijua Kuna watoto wanahitaji ada,matunzo malez na kuwatengenezea future[emoji4]Una hoja!
hiki Ni kiwango Cha juu Cha ubinafsi,na uchoyo
Hatari sana,wamekaa kimitego,Sasa watakua na AdabuMleta mada usilolijua ni kama usiku wa giza...
Samir Nasri ni mchezaji wa soka wa Ufaransa ambaye alipoteza mali zake baada ya kutalikiana na mke wake wa zamani, Anara Atanes....
Emmanuel Eboue ni mchezaji wa soka wa zamani wa Ivory Coast ambaye alipoteza mali zake baada ya talaka yake na mkewe mwaka 2017.
Ray Parlour - Mchezaji wa zamani wa Arsenal ya Uingereza, ambaye alipoteza pauni milioni 2.5 za mali yake baada ya kutalikiana na mkewe.
David James - Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya England, ambaye alilazimika kuuza nyumba yake baada ya kutalikiana na mkewe.
Ryan Giggs - Mchezaji wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya Wales, ambaye alipoteza takribani pauni milioni 40 za mali yake baada ya kutalikiana na mkewe.
Tunachekelea kuwanyoosha wanawake matapeli.Wanaume wanachekelea saiv ila ndo furaha ya single mothers ilipo mtoto akikua anamuamini zaidi Mama yake kuliko Baba yake
Angempa hata robo mgao,Sasa hapo ndio akaanze Arif au?Mbinafs na mchoyo Ni mke anaekimbilia kwny Mali wkt akijua Kuna watoto wanahitaji ada,matunzo malez na kuwatengenezea future[emoji4]
Kwa kipi haswa alichonacho mpaka ampe huyo tapeliAngempa hata robo mgao,Sasa hapo ndio akaanze Arif au?
Yaan mie akili ishastuckIla kuomba talaka na kutaka kugawiwa mali sawa kwa sawa huoni kuwa nao ni ubinafsi?
Huoni hapo lengo la kuolewa,lilikuwa ni kuzivizia mali za mwanaume,hapo mbinafsi na nani sasa?
Mi naona Hakimi mapema tu alishamsoma mwenzake ni mwanamke wa aina gani