DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Sasa jamii inataka mabinti kama weweKabla ya kutaka kuonewa na huruma na mtu baki jionee huruma wewe mwenyewe,binti wa miaka 18 na mzee wa miaka 50 inaingia akilini?
Wakukuonea huruma ni mama yako na si mwingine,jukumu la kujitunza lipo mikononi mwako either abstain ama be careful
Pole binti kwa kupenda vya bure
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Pole
Kabla ujafika huko mfunze binti Yako aache tamaaa..!!!!mimi mtu atakaefanya hivi kwa binti yangu na nikajua, nitamteketeza kwamoto apate maumivu ninayopitia.
Hili wengi hawaliangalii...mahitaji Yao ni mengi sana....Ni Mungu tu anawasaidiaHapa kwenye uchumi ndio tatizo,kuna mahitaji mengi anayohitaji,kuna vyuo binafsi,kama vya Afya,vinaagiza Rim(karatasi za mitihani)karibia tatu,kila moja 20000,wanaagiza gloves box 3 au zaidi,kila moja karibia 35000,Taulo karibia tatu,na bado yeye mwenywe ana matumizi ya ziada,sabuni,dawa ya msuaki,ped,nk,atapata wapi vyote hivyo,na wazazi ni maskini.
Ndio akikutana na mtu wa kumdanganya,kumsaidia,ana muamini.
Vyote hivyo vinatakiwa kila mwaka.
Wapo ambao nimekutana ni kweli hawana hela mkuu. Kuna mtu katokea familia maskini kiasi akipata boom anatuma hela nyumbani na kusomesha ndugu zake..Pesa huwa wanakuwa nazo sema za kuishi maisha ya anasa ndo hazipo
Kwaiyo wanaamua kurahisisha maishaWapo ambao nimekutana ni kweli hawana hela mkuu. Kuna mtu katokea familia maskini kiasi akipata boom anatuma hela nyumbani na kusomesha ndugu zake..
Kwa watoto wa kiume huwa wanajimix mjini au kuwa na skills za kuwatengenezea pesa Ila kwa wa kike ni wachache huwa na spirit hiyo mkuu
Sipo vizuri kwenye kutunga hadithi ila kama nilichoandika umekiita tungo nitafikiria upya namna yakuingia kwenye hiyo tasnia. Uzuri wengi wa wachangiaji wanafahamu maisha ya vyuo yalivyo na mabinti zetu. Nilichoandika ndo ukweli labda tu nilisahau kuandika kuwa huyu binti pia ni MZAMZITO!Naamini hii ni tungo ifananayo na ukweli
Sio kurahisisha maisha, ndivyo wengi walivyolelewa kamini kuwa mwanaume ndio mtu wa kumrahisishia maisha ndio maana mwanamke anaona kuhudumiwa ni stahiki yake,Kwaiyo wanaamua kurahisisha maisha