Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kutoweka kwa huyu mwandishi kunatatanisha kwani hata haijulikani alikuwa akiandika au akitafuta taarifa juu ya kitu gani ambacho kingeweza kuwa ndiyo sababu ya kutoweka kwake.
Hivi huko Mwananchi nao hawajui alikuwa akishughulika na habari gani?
Je kwenye magazeti ni habari zipi alizokuwa anaziandika, ili tujaribu kuunganisha doti?.
Hii ni tofauti kabisa na kutoweka kwa Ben Saanane, ambaye habarizilizosababisha apotee zinajulikana wazi.
Mkuu ina maana hujui alienda Kibiti kupeleleza lile saga la wakati ule wa kibiti?