Wazazi wa Azory Gwanda watuma barua kwa Rais Samia Suluhu Hassani

Wazazi wa Azory Gwanda watuma barua kwa Rais Samia Suluhu Hassani

We we ni mmoja wa watu wajinga kabisa duniani. Hao wazazi umeambiwa wako aged 90 + years, too old to handle such big issues bado unakuja hapa kuandika huo ujinga
Kwani 90 yrs hawaongei si hao ndio kilio chao kinasikika vizuri na hata hawawezi kutishiwa kifo, sasa hapo huelewi nini.
 
Alikuwa anaandika na kufuatilia kisa na mikasa wa yale mauaji ya kutatanisha kule Kibiti...
Kwa hiyo yeye ni wazi ni mhanga wa serikali, ambayo ina wajibu kuwaeleza wazazi ni nini kilimtokea mtoto wao.

Iliwahi kuandikwa humu JF, kwamba siku aliyotoweka alikuwa na watu ambao walimhitaji aende nao mahala. Kabla ya kuondoka kaenda shamba walikokuwa (mke?, nadhani) kuaga kwamba anaondoka.

Tokea hapo hakuonekana tena.

Sasa mtu kama huyo, unahitaji kumuua kwa sababu zipi?

Kama alikuwa na habari ambazo hawakutaka aziandike gazetini, huwezi kumzuia bila kumuua?

Kupotea kwa huyu mwandishi na Ben Saanane, kama kuliishia katika kupoteza uhai wao, ni jambo linalohitaji kufanyiwa uchunguzi kikamilifu ili ijulikane ni nani aliyehusika kuondoa uhai wao kikatili tu bila ya sababu maalum.
 
04 June 2021



Baada ya kauli za kupingana kati ya ile ya waziri Prof. Palamagamba Kabudi wa serikali ya Tanzania alipohojiwa na BBC Swahili na ya msemaji wa Mkuu serikali ya Tanzania Dr. Hassan Abbas kuhusu kutoweka kwa mwandishi wa habari Azory Gwanda hapo mwezi November 2017.

Msemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas alisema serikali iliyokuwa chini ya hayati rais John Pombe Joseph Magufuli inafanya jitihada zote kujua kuhusu kutoweka kwa mwandishi Azory Gwanda.

Wazazi wa Azory Gwanda wameomba msaada wa serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iendelee kufuatilia kujua taarifa kamili juu ya suala la kupotea mwandishi huyo wa Mwananchi Media Corporation ili ieleweke kilichompata mwandishi huyo ili wazazi na familia ya Azory Gwanda wafahamu yaliyomkuta kama bado yupo hai au amefariki .

Chanzo: CHADEMA MEDIA TV

Duhh..... Sadd sad.
Tusubiri..😳😳😳😢😢😢😢😢
 
Wazazi wengine nao ni hovyo kabisa sasa hawa walikuwa wapi siku zote toka mwanao atoweke utafikiri huyo mtoto walimchuma mtini.

Wale wa Beny Saanane ndio kabisa hata habari hawana utafikiri walimtoa kafara mwanao. Hizo ndizo "Legacy" za huyu dikteta Magufuli, rais wa hovyo kuwahi kuonekana katika nchi hii.
Unawaonea wazazi hao! Katika kipindi cha Magufuli, nani alinyanyua mkono kuhoji? Unadhani wazazi wangesalimika? Magufuli hakuwa kiongozi, alikuwa mtawala wa mabavu, yeyote aliediriki kuhoji alitoweka.
 
Kwa hiyo yeye ni wazi ni mhanga wa serikali, ambayo ina wajibu kuwaeleza wazazi ni nini kilimtokea mtoto wao.

Iliwahi kuandikwa humu JF, kwamba siku aliyotoweka alikuwa na watu ambao walimhitaji aende nao mahala. Kabla ya kuondoka kaenda shamba walikokuwa (mke?, nadhani) kuaga kwamba anaondoka.

Tokea hapo hakuonekana tena.

Sasa mtu kama huyo, unahitaji kumuua kwa sababu zipi?

Kama alikuwa na habari ambazo hawakutaka aziandike gazetini, huwezi kumzuia bila kumuua?

Kupotea kwa huyu mwandishi na Ben Saanane, kama kuliishia katika kupoteza uhai wao, ni jambo linalohitaji kufanyiwa uchunguzi kikamilifu ili ijulikane ni nani aliyehusika kuondoa uhai wao kikatili tu bila ya sababu maalum.
Ndugu yangu,

Katili yeyote huona njia rahisi na salama kwake ni kuondoa uhai (maiti haiongei)

Wangeweza kutumia njia nyingine kuzuia asitoe aliyoyajua... lakini kwanini wachukue risk wakati kuna njia nyepesi?

Unadhani wangemzuia kipindi kile, kwa hali ya hivi sasa si angetoa yote?

Kigaidigaidi, unaweza kukuta hata waliotaka kumuua Tundu Lissu, hivi sasa hawapo duniani...

Njia rahisi kabisa ya katili kuficha ushahidi ni kunyamazisha...
 
Ndugu yangu,

Katili yeyote huona njia rahisi na salama kwake ni kuondoa uhai (maiti haiongei)

Wangeweza kutumia njia nyingine kuzuia asitoe aliyoyajua... lakini kwanini wachukue risk wakati kuna njia nyepesi?

Unadhani wangemzuia kipindi kile, kwa hali ya hivi sasa si angetoa yote?

Kigaidigaidi, unaweza kukuta hata waliotaka kumuua Tundu Lissu, hivi sasa hawapo duniani...

Njia rahisi kabisa ya katili kuficha ushahidi ni kunyamazisha...
Haya mambo hayawezi kufunikwa funikwa tu na kuachwa bila majibu; kwani yataendelea kuwa kero kwa taifa.
Suluhisho ni kuyafanyia uchunguzi ili ifahamike ukweli wa waliohusika nayo.
 
Kwa hiyo yeye ni wazi ni mhanga wa serikali, ambayo ina wajibu kuwaeleza wazazi ni nini kilimtokea mtoto wao.

Iliwahi kuandikwa humu JF, kwamba siku aliyotoweka alikuwa na watu ambao walimhitaji aende nao mahala. Kabla ya kuondoka kaenda shamba walikokuwa (mke?, nadhani) kuaga kwamba anaondoka.

Tokea hapo hakuonekana tena.

Sasa mtu kama huyo, unahitaji kumuua kwa sababu zipi?

Kama alikuwa na habari ambazo hawakutaka aziandike gazetini, huwezi kumzuia bila kumuua?

Kupotea kwa huyu mwandishi na Ben Saanane, kama kuliishia katika kupoteza uhai wao, ni jambo linalohitaji kufanyiwa uchunguzi kikamilifu ili ijulikane ni nani aliyehusika kuondoa uhai wao kikatili tu bila ya sababu maalum.
Sijawahi kuona ukiandika point hata siku moja. Ben alikuwa mtumishi wa chama gani? Hao Chadema walichukua hatua gani?
 
Sijawahi kuona ukiandika point hata siku moja. Ben alikuwa mtumishi wa chama gani? Hao Chadema walichukua hatua gani?
Inanilazimu nicheke mkuu 'malunde' kwa jinsi unavyotafuta nikuone!

Lakini ngoja nikwambie ukweli leo.

Yule aliyekuwa amekuvuruga akili alishaondoka, na ninajua kwa nini akili yako ilivurugwa kwa wakati huo ulipoonekana kuwa kioja.

Ghafla, ulikuja kubadilika (sijui kulitokea nini, lakini nadhani matumaini yako kupata chochote kutoka kwake hayakutimia).

Baada ya kubadilika huko, umehangaika sana kujaribu kufuta rekodi yako ambayo ulisha ichafua vibaya sana kwa utetezi uliokuwa ukiuweka juu yake.

Sasa nakuona ukihangaika tu, huna hili wala lile, umebaki tu kuvizia na kurukia watu.

Lakini, tupo kwenye mji wetu huu mpendwa kando ya ziwa, tulia tumwone na huyu mwingine anayetafuta bei ya kutuuza utumwani.

Wala hata sielewi kama unajihusisha na chama chochote, ila najuwa ulikuwa unasukumwa na u'malunde' tu wakati huo, vinginevyo tukikutana kule Makoroboi, nitakupa bia baridi tuyamalize.
 
Mafia wa nchi zilizoendelea ( Ulaya, Marekani na Mashariki ya Kati ) na zinazotumia Akili vyema wakifanya Tukio basi watatengeneza Mazingira wala wasijulikane kabisa kuwa ni Wao, ila Mafia wa Uswahilini ( hasa Barani Afrika ) wakifanya Tukio kutokana na ' Upumbavu / Upopoma ' wao wataliacha hivyo hivyo mpaka hata ' Mangumbaru / Wajinga ' watajua tu kuwa Wahusika ni Wao
Vp aisee mumeo yupo kaburini
 
Miaka 5 itapita hivi hivi wanacheza sarakasi za wana harakati wakati kuna watu hawana maji, umeme, barabara, vituo vya afya havina wauguzi wala waganga.

Matatizo ni endless hao ndugu kama wanadhani haki aijatendeka si waende mahakamani OK uwezi kufungua jinai we sio serikali; ila kama una amini polisi sijui nani anahusika si ufungue civil case dhidi yao udai fidia wakipatikana na hatia ni message tosha kwamba shutuma fulani zilikuwa sahihi.

Huyu mama mnamsumbua na mambo yasiyo na msingi na kutaka kumpotezea focus ya kazi ngumu iliyo mbele yake.
 
Iundwe tume maalum kuchunguza haya matukio yaliyoshika kasi enzi za jiwe
nafikiri hii itakuwa suluhisho. ama iundwe task force maalum. wapitie hizi kesi.. watashangaa sana how much darker former president was
 
Inanilazimu nicheke mkuu 'malunde' kwa jinsi unavyotafuta nikuone!

Lakini ngoja nikwambie ukweli leo.

Yule aliyekuwa amekuvuruga akili alishaondoka, na ninajua kwa nini akili yako ilivurugwa kwa wakati huo ulipoonekana kuwa kioja.

Ghafla, ulikuja kubadilika (sijui kulitokea nini, lakini nadhani matumaini yako kupata chochote kutoka kwake hayakutimia).

Baada ya kubadilika huko, umehangaika sana kujaribu kufuta rekodi yako ambayo ulisha ichafua vibaya sana kwa utetezi uliokuwa ukiuweka juu yake.

Sasa nakuona ukihangaika tu, huna hili wala lile, umebaki tu kuvizia na kurukia watu.

Lakini, tupo kwenye mji wetu huu mpendwa kando ya ziwa, tulia tumwone na huyu mwingine anayetafuta bei ya kutuuza utumwani.

Wala hata sielewi kama unajihusisha na chama chochote, ila najuwa ulikuwa unasukumwa na u'malunde' tu wakati huo, vinginevyo tukikutana kule Makoroboi, nitakupa bia baridi tuyamalize.
Ahaaa, kila siku huwa nakuambia uwezo wako wa kug'amua mambo ni mdogo sana.
 
04 June 2021



Baada ya kauli za kupingana kati ya ile ya waziri Prof. Palamagamba Kabudi wa serikali ya Tanzania alipohojiwa na BBC Swahili na ya msemaji wa Mkuu serikali ya Tanzania Dr. Hassan Abbas kuhusu kutoweka kwa mwandishi wa habari Azory Gwanda hapo mwezi November 2017.

Msemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas alisema serikali iliyokuwa chini ya hayati rais John Pombe Joseph Magufuli inafanya jitihada zote kujua kuhusu kutoweka kwa mwandishi Azory Gwanda.

Wazazi wa Azory Gwanda wameomba msaada wa serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iendelee kufuatilia kujua taarifa kamili juu ya suala la kupotea mwandishi huyo wa Mwananchi Media Corporation ili ieleweke kilichompata mwandishi huyo ili wazazi na familia ya Azory Gwanda wafahamu yaliyomkuta kama bado yupo hai au amefariki .

Chanzo: CHADEMA MEDIA TV

Hii wapinzani wa jpm kumuona samia kama mtu wao na yeye kuchukua hatua kuwafurahisha ni uhakika samia na magufuli sio kitu kimoja kama mwenyewe anavyodai. Hilo sio jambo dogo kwa wale waliyompa magufuli kura zao kua rais.
 
Back
Top Bottom