kingkimwe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,839
- 2,481
Wazazi wengine nao ni hovyo kabisa sasa hawa walikuwa wapi siku zote toka mwanao atoweke utafikiri huyo mtoto walimchuma mtini.
Wale wa Beny Saanane ndio kabisa hata habari hawana utafikiri walimtoa kafara mwanao. Hizo ndizo "Legacy" za huyu dikteta Magufuli, rais wa hovyo kuwahi kuonekana katika nchi hii.
Wewe nae akili zako bure kabisa ivi kwa ule mkono wa chuma nn kingefanyika