Wazazi wa Azory Gwanda watuma barua kwa Rais Samia Suluhu Hassani


Mkuu ina maana hujui alienda Kibiti kupeleleza lile saga la wakati ule wa kibiti?
 
Akihojiwa na chombo cha habari,mke wa Azory kinachomuumiza ni swali analoulizwa na mwanaye kuhusu baba yake alipo maana alimwambia baba atarudi.Kumbuka huyu mtoto alikuwa tumboni wakati baba yake akichukuliwa na magaidi.
Ni maumivu zaidi.
 
Mkuu wangeanzia wapi?
 
Aibu. Barua wameandikiwa na CHADEMA imesomwa hazarani na mtu wa CHADEMA, mbele ya kikao cha Kigalia wa CHADEMA. Aibu kwa ndugu yenu, msikubali kutumiwa. Azory Gwanda aliajiriwa na magazeti ya Kenya kama mtaalamu wa breaking news kila wakiuliwa polisi na makada wa CCM na magaidi Kilwa Lindi, lakini CHADEMA na CUF na TLS hawaguswi. Mnyika akasema Bungeni "CCM ni kosa lao kwa vile hawataki kuleta tume huru, wamejitakia" (a real smart fellow, Bunge lililofuata akaona kuna kiza mbele hakugombea). Leo familia inalaumu Serkali badala ya kuishukuru kuwafukuza magaidi? Ndugu yenu hatujui yuko wapi, waulizeni Waajiri wake walifaidika sana na breaking news zake. Walau basi waombeni wawasomeshe watoto wake na kuwalisha wazazi wake. Aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…