Wazazi wa siku hizi wamewafanya watoto kuwa watumwa wa elimu

Kayumba na EM zote zilezile.

Inategemea na mazingira ya nyumbani ya wazazi na akili ya Mtoto.

Nyumbani kama mnaongea kingereza mtoto atajua kingereza kuliko wanaosoma EM.
Watz wengi hilo hawalielewi wanaona kusomesha mtoto kayumba ni umasikini.
 
Umemaliza Mkuu. Nakuunga mkono 100%. Elimu inapaswa isiwe na ukomo (lifelong learning). Pia iwe sehemu ya maisha yetu na si kwa ajili ya kutuandaa kwa baadaye.
 
Shule ni uwezo wa mtu aliopewa na Muumbaji wa viumbe wengine,
Ila siamini kuwa hela inaweza ikamfanya mtu akawa na uwezo Kama sio asili yake,
Mana hata tabora boys wapo waliopata four Ila zero sikumbuki vizuri mwaka wetu,.

Wapo wenye hela wanatumia hela kuitafuta elimu Ila unakuta labda ana uwezo wa kufanya biashara na kuwa tajiri.

Watu hawaelewi kuwa shule inapima only two types of human intelligence out of nine of human intelligence.
Ile claiming capacity and to think I. Abstract, Mana inabidi mtu awaze theory, wapo wakiona wanaelewa fasta mno,
Ndio mana Kuna watu wakipita mfumo wa veta wanakuwa poa mno kuliko kupitia theories tu.
Binafsi nimeingia site nikaona Kama nguvu zinatumika nyingi mfano kuanza kufundishana sehemu za nyumba ghorofa mara column, beam, stairs, foundations kumbe nikiwa site chuma zinasukwa mtu unaelewa fasta Wala sio hata ishu sana. Watu wanafanya shule like breathing but it shouldn't be taken as such.
Imagine sijamaliza ata MILIONI home nimesoma mpaka nikapata bachelor degree na nimesomeshwa nje ya nchi kinachotakiwa ni kufaulu tu.
So sio kuwa ni hela zilikuwa zinanifanya nisome Bali Ile ari yangu ya kukesha. Sijui Kama Kuna mahala inatakiwa ukasomee uwe like Michael Jordan, Kobe Bryant,mime Tyson, bill gates, Dangote, mengi Reginald etc.
Watu hawataki kukubali NATURE.
WEWE KUPATA AMA KUMILIKI KITU SIO KUWA U MJANJA KULIKO ALIYEKOSA. NIMESHUHUDIA MTU ANASOMA ANAKESHA NA KUOMBA KUSALI MPAKA ANALIA KABISA , ILA MATOKEO YAKIJA ANA FOUR OR 30% YA MATHS MUDA HUO HUO KUNA MTU ANASOMA KIMASIHAHARA HATA MIE NAKOMAA KULIKO YEYE ILA ANAYO 98% YA MATHS SO HAPA KUNA NINI.
UNADHANI HUYU NI KUTUMIA HELA NYINGI NDIO AKAWA HIVI.
L
EGO INATUDANGANYA KUWA MAMBO TUNAYOFANIKISHA NI KWA UWEZO WETU. UNAPOTEGA MITEGO PORINI KUMNASA mnyama sio kuwa wewe ndiye umemuita akaja kunasa.
Unamkumbuka yesu alipotupa nyavu ziwani samaki walivyonasa
 
Reactions: ITR
Miaka 7 unavaa nepi mzee, ulikua na ugonjwa gani??
Wakati huo mie miaka 7 ni mshambuliaji tegemezi kwenye timu yetu ya watoto mtaani.
Kweli tumetofautiana sana, engine wana akili ndogo... mimi miaka saba nilikua najua mpaka kuendesha helicopter...
 
Inasikitisha sana mkuu.

Yaani saa 11 alfajiri unakutana na mtoto wa miaka mitano anasubiri basi aende shule.

Yaani unakuta mtoto anasinzia kituoni kusubiri gari maana kama mtoto saa 11 alfajiri yupo kituoni obviously atakuwa ameamshwa saa 10 kujiandaa.😒

Hapo kurudi nyumbani ni saa 12 jioni hadi saa mbili usiku kulingana na foleni ya siku husika.

Serikali kuna haja ya kutunga sheria kabisa ya elimu ili watoto waripoti shuleni saa mbili na kutoka saa tisa maana elimu sio vita aise.
 
Reactions: ITR
Wazazi wanafanya ukatili dhidi ya watoto wao bila kujua.
 
Kila siku huwa naamka saa kumi na moja na nusu alfajiri kufanya jogging, njiani napishana na school busses nyingi humo ndani watoto karibu wote wamechapa usingizi.
 
Dah!

Ova
 
Kila siku huwa naamka saa kumi na moja na nusu alfajiri kufanya jogging, njiani napishana na school busses nyingi humo ndani watoto karibu wote wamechapa usingizi.
Wazazi wa siku hizi wana mambo ya kiwaki sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…