Wazazi wajaa Shule ya Mburahati kuwachukua Watoto, hofu ya kutekwa baada ya Noah nyeusi kuonekana

Huo mda wote wanaitana wameshindwa kuita polisi ikaihoji hiyo noah isiyo na namba.
Jamani ukiwa na mtoto sasa hivi roho juu juu
 
shule ya mburahati hipo karibu na kituo kikubwa cha mburahati
 
Haya mambo tunachukulia mzahamzaha kuna siku yatatokea maafa mahala ndio tutaanza kushikana uchawi, kuna hatari siku wananchi wakaua watu ndani ya noah nyeusi kwasababu tu mashaka.

Wenye noah nyeusi muishi Kwa tabadhari.
 
Ili swala limetapakaa kila kona wana nchii tupo loo juu kwa usalama wa watoto wetu uwongozi wa nchii upo kimya
 
Hizi drama, Gen Z wawili tu wa kenya walitosha kumaliza kila kitu.
Ona shule yenyewe utafikiri ya kabla ya uhuru!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…