Wazazi nadhani bado wanashauri,,,ila watoto kutokana na kutokuwa na AKILI ndio hufanya ule ushauri kama ndio maamuzi,,,,Kuna Dada mtoto wake alikuwa anasumbuliwa na ile ya kushtuka(mtaani huita Degedege),, sasa Mzazi wa Bwana yake alishauri mtoto apewe majani fulani hivi,,,ila Mama mkwe ni mlokole yeye alikataa....
Basi hilo lilileta ugomvi sana kwa wale Wapenzi,,,kila mtu aliamini alichosema mzazi wake ni sahihi,,,,,Wao wawili walishindwa kuchanganya na akili zao,,,,,Hasa MWANAUME....
so nadhani wanaoharibu NDOA ni wanandoa wenyewe,,,,,ila ni vile Binadamu lazima atafute wa kumtupia Lawama na wazazi ndio huangukia hapo....
But WAZAZI pia sometimes inahitaji uwe na Msimamo haswa ili uende nao sawa....