Wazazi wanafaidika kitu Gani wanapovunja ndoa za Watoto wao?

Wazazi wanafaidika kitu Gani wanapovunja ndoa za Watoto wao?

Kuna mama mmoja alilea watoto wake kwa shida sana, kijana wake akapata kazi, akaoa. Kijana kamjengea mama yake nyumba na anamsaidia tu maana mama yake alikuwa akiishi kwenye kinyumba kidogo tu. Huyu kijana ndio mtoto wa kiume pekee, ana dada zake 3 wameolewa na mmoja yupo nyumbani kazaa tu. Kaka anamlea mama yake na ndugu zake vizuri tu. Ila mama yake hataki mwanae aoe anasema nimehangaika na wanangu halafu raha wapate wengine? Basi Ndoa ni visa vitupu, mara mama ampigie mwanae simu alalamike wazazi wa mkeo hawaji kunisalimia, kijana nae anamfokea mkewe kwa nini mama yako haendi kwetu, basi visa vimekuwa vingi kamlima talaka 3 kisa kijana anamsikiliza sana mama yake.
huyo jamaa ni mpumbavu
 
Kuna mama mmoja alilea watoto wake kwa shida sana, kijana wake akapata kazi, akaoa. Kijana kamjengea mama yake nyumba na anamsaidia tu maana mama yake alikuwa akiishi kwenye kinyumba kidogo tu. Huyu kijana ndio mtoto wa kiume pekee, ana dada zake 3 wameolewa na mmoja yupo nyumbani kazaa tu. Kaka anamlea mama yake na ndugu zake vizuri tu. Ila mama yake hataki mwanae aoe anasema nimehangaika na wanangu halafu raha wapate wengine? Basi Ndoa ni visa vitupu, mara mama ampigie mwanae simu alalamike wazazi wa mkeo hawaji kunisalimia, kijana nae anamfokea mkewe kwa nini mama yako haendi kwetu, basi visa vimekuwa vingi kamlima talaka 3 kisa kijana anamsikiliza sana mama yake.
Sana yaani
 
Back
Top Bottom