Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Chungulia hvy hvy mpaka umuone mchawi wako, hakuna kitu rahisiKioo chenyewe kina matundu ....mtihani sheikh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chungulia hvy hvy mpaka umuone mchawi wako, hakuna kitu rahisiKioo chenyewe kina matundu ....mtihani sheikh
Kuna kuanzia miezi 6,12,18,24 na kuendelea ni wewe tu kuchaguaHivi hii fexed deposite account mfano siku nimepata shida nataka kutoa inawezekana? Au ndiyo zile unasaini kwamba mpaka miaka mitatu au mitaono ipite ndiyo naweza kutoa!?
We ni mwehu 🤣🤣🤣🤣Hapo ndio sijui sasa, anaweza kuangalia kwenye kioo akaona mgomba
Si ndiooooo 😂We ni mwehu 🤣🤣🤣🤣
Unaenda unajaza fomu.... Ila Bado utakuwa na access ya kutoa ...nzuri ni ufungue akaunti ya fixed ama savings ambayo hautokuwa na access ya kutoa muda wowote kama hizi za deposit....Ila unaweza ukatumia njia ya kuwaambia bank wawe wanakata hela asimilia Fulani then inayobaki ndo utumie kuendeshea MAISHA ya kila siku.
Mfano unapokea Million moja unaweza kuwaambia wakate laki 3 ambayo huwa Unaitumia kunywea pombe then ibaki laki Saba.
Naimani inawezekana.
Let mind rule and not body
Be happy but don't be hedonistic
Discipline is not a punishment but is the best way to avoid punishment.
Drink is OK but too much of anything is harmful. So keep self control
Ziko miez 3 mitatuHivi hii fexed deposite account mfano siku nimepata shida nataka kutoa inawezekana? Au ndiyo zile unasaini kwamba mpaka miaka mitatu au mitaono ipite ndiyo naweza kutoa!?
Hata tarehe 5 May bado lol!
Aangalie akiwa na nani?Angalia kwenye kioo utamjua anayekuchezea.
TungiHata tarehe 5 May bado lol!
Hio Ni hatari sana lo
Unaitoa ila watakata kidogo kama disturbance feeHivi hii fexed deposite account mfano siku nimepata shida nataka kutoa inawezekana? Au ndiyo zile unasaini kwamba mpaka miaka mitatu au mitaono ipite ndiyo naweza kutoa!?
MadeniUshawahi kujiuliza kuanzi tar 1 unaishije mpaka tar 20 bila mshahara?
Ili dawa ifanye kazi vzr itabidi aangalie akiwa pekee yakeAangalie akiwa na nani?
Sasa hapo Si atakua anacheza mchezo wa Paka'Ili dawa ifanye kazi vzr itabidi aangalie akiwa pekee yake
KvpSasa hapo Si atakua anacheza mchezo wa Paka'
Kujichungulia kwenye kioo na kuhisi kwenye kioo kuna Paka' mwenzie kumbe yupo peke yake
Sasa huyo atakayemuona ndio anayemchezeaKujichungulia kwenye kioo na kuhisi kwenye kioo kuna Paka' mwenzie kumbe yupo peke yake
Aaaha kumbe Ila paka ni mmojaSasa huyo atakayemuona ndio anayemchezea