Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

Seth alikua chumba cha pili na ametoa ushahid kwamba aliwasikia wanakimbizana na kupigana then akaja kuitwa Kanumba ameanguka!au unamaanisha nini?
good kwa hiyo huyu ndugu Seth sio eye witness,hakuona yaliyokuwa yanafanyika kwenye kile chumba,kuanguka na kufa kwa Kanumba pekee hakumfanyi Lulu kuwa ni killer,ndio maana wenzetu wanaofuta wajibu wa kisheria zile ripoti za kiuchunguzi ndizo zingetoa mwanga nini kilijiri kwenye kile chumba,tatizo la sisi tumeshazoea mihemko,refer ile kesi ya yule mwanariadha wa South Africa aliyempiga risasi mpenzi wake,no eye witness ila ripoti za kiuchunguzi ndizo zilizo pelekea jaji kutoa uamuzi ule,ni vema wewe kama middle class citizen kuona hili na kukazania jeshi letu la polisi liboreshwe ili liendeshwe kitaalamu sio kisiasa kama sasa.
 
Hivi nn maana ya kuwa na "wakili nguli" kama huyo wakati mteja wako anahaha kujitetea mwenyewe mahakamani? Mtoto wa watu maskini hajui hata aseme nini

Wakati mwingine wakili nguli hawezi kukusaidia sana ikiwa wakati wa kutoa maelezo ya tukio polisi hakushiriki, kumbuka Lulu aliwekewa kama mtego kukamatwa na police na sidhani wakati akitoa maelezo yake alikuwepo mwanashria yoyote. Ni vyema angegoma kutoa maelezo yoyote mpaka angekuwepo mwanasheria kwanza.
 
Again ,maadam tunaishi kwenye nchi ya kusadikika hata maamuzi yake yatakuwa hivyo,kwa ushahidi gani uliotolewa mahakamani ?hakuna ripoti ya doctor?hakuna foresinc report kuhusiana na kesi hii,hakuna ripoti inayotuambia Kanumba alikufa kwa sababu zipi;na elewa ni muhimu jaji ajiridhie bila shaka kuwa mtuhumiwa aliuwa;ndio tatizo za mahakama zetu nazo kuendeshwa kimihemko.
Acha kukurupuka, forensic report ilitolewa. Upande wa kisogo ulijvilia damu kwa ndani na mishipa ilipasuka ya kwenye ubongo. Hayo yalisemwa na daktari wake, sio yule Mushumbuzi. Nyie kila kitu ni kukurupuka tu. Mnakeraaaaaa, aaaaaaaaah.
 
Hapo lazima mahakama imuoeshee ionyeshee kwamba iko kwa mujibu wa sheria.lazima hukumu ikitoka kila mtu hataamini
 
good kwa hiyo huyu ndugu Seth sio eye witness,hakuona yaliyokuwa yanafanyika kwenye kile chumba,kuanguka na kufa kwa Kanumba pekee hakumfanyi Lulu kuwa ni killer,ndio maana wenzetu wanaofuta wajibu wa kisheria zile ripoti za kiuchunguzi ndizo zingetoa mwanga nini kilijiri kwenye kile chumba,tatizo la sisi tumeshazoea mihemko,refer ile kesi ya yule mwanariadha wa South Africa aliyempiga risasi mpenzi wake,no eye witness ila ripoti za kiuchunguzi ndizo zilizo pelekea jaji kutoa uamuzi ule,ni vema wewe kama middle class citizen kuona hili na kukazania jeshi letu la polisi liboreshwe ili liendeshwe kitaalamu sio kisiasa kama sasa.
Ripoti ya Dr inaonyesha alikufa kwa concussion na ilitoka kipindi amekufa tu so mtu mwenye sumu na concussion wapi na wapi?
 
Ripoti ya Dr inaonyesha alikufa kwa concussion na ilitoka kipindi amekufa tu so mtu mwenye sumu na concussion wapi na wapi?
Eti dokta wa mitishamba mke wa dr slaa anasema sijui sumu sijui madudu gani
 
Nkanini MAZINGIRA YA KIFO AMEYAELEZEA MWENYEWE LULU, KWA HIYO MAELEZO YAKE NDIYO YALIYOBADILI MWENENDO KUTOKA KUUA KWA KUKUSUDIA KWENDA KUUA KWA KUTOKUSUDIA.

NAAMINI WAZEE WAMEMSHANGAA KWAMBA ILIKUWAJE MPAKA KANUMBA BAADA YA KUANGUKA NA KUZIMA, WAKATI SETHI ANAFANYA MPANGO WA KUMPELEKA HOSP YEYE (LULU) AKAWA NA MOOD YA KUDRIVE KWENDA COCO BEACH KULA UPEPO WAKAT MPENZ WAKE HATIMA YAKE HAIJULIKAN? TUKISEMA ALIJUA KINACHOENDELEA TUNAKOSEA?
..
sawa,ila wewe inaonekana ungekuwa mmoja wa wazee wale ungemwona Lulu quilty kwa sababu ya kuondoka kwenye crime scene!!sasa wenzetu hapa wangewaleta wataalamu wa saikolojia to evaluate hali ya Lulu ilikuaje baada ya kutokea yale,je ali panic?je alitaka kwenda kujiua?etc etc hizi ndizo ripoti ambazo upande wa mashitaka ulitakiwa kuwa nazo kwenye kesi hii,kwenda coco beach baada ya tukio lile sio kigezo cha kumwona lulu ni muuaji.
 
Narudia tena

Jaji halazimiki kufuata maoni ya accessor's of the court, hao wazee wa baraza ni maoni yao kwa jinsi wanavyoisikiliza kesi lakini Jaji ndiye final say anaangalia sheria na siyo busara kama hao wazee
ni kweli lakini pia wazee wa mahakama ushauri wao huwa unaangaliwa
 
Hukumu nov 13 sherehe za uhuru dec 9. Lulu akiwa na bahati atachomoka nov 13 au akikwama basi atapata msamaha wa upendeleo dec 9 akishindwa hapo ndo basi tena atatumikia kifungo tu au rufaa itamuokoa
#justthinkingloud#
anasamehewa kwa kigezo kipi? kusamehewa ni kutokana na record of good conduct ukiwa jela na sababu zinginezo kama ugonjwa na kadhalika.Sasa atatolewa mapema kwa sababu gani?
 
Hivi alishindwaje kuongea nao kabla?nchi imebadilika eeh!
Ha ha huyu dogo aliponzwa na upeo mdogo wa kuona mbali;alitakiwa amalizane na mama Kanumba na angemfanya shahid upande wake amfagilie jinsi alivyo raiamwema baada ya kufa Kanumba nk ila akampotezea yule mama akadhani utawala utabaki wa Jk tu;Kitendo cha mama Kanumba kuja mahakamani na chenyewe kina influence kwenye hukumu
 
Mkuu Jaji Lumanyika alishamswalika Yule Mtoto kuwa wakati anaondoka eneo la Tukio na Motokari Je alikuwa ana leseni ya Udereva? Na kama alikuwa nayo aliipataje wakati sheria za Nchi haziruhusu kwa umri ule kuwa na Leseni.? Pia haka katoto kaliweza kuwa na Mahusiano ya kingono katika Umri Mdogo ule? Yaani haka katoto kafungwe tu... Halafu nilikaona jana Mahakamani yaani kanahitaji maombezi na lipini lake kwenye ulimi.. Ushauri kalikopewa na Mange hakaukufanyia kazi Katoto haka kafungwe ili kawe mfano kwa vitoto vingine vya kike... Unajua Kamiviharibu watoto wangapi kujiingiza kwenye mahusiano ya ngono wakiwa na umri mdogo kama hako katoto.... Yaani kupitia hako Katoto kamehahalarisha Ngono ni mchezo wa kawaida.. Kafungwe tu vile Mahakama Itaona inafaa ila kasihurumiwe kafungwe tu
mkuu usimlaumu sana Lulu..sio yeye alipenda kujiingiza huko..ni malezi na mazingira aliyokuwa exposed kwayo katika ule umri mdogo
In short Parental Guidance
 
Again ,maadam tunaishi kwenye nchi ya kusadikika hata maamuzi yake yatakuwa hivyo,kwa ushahidi gani uliotolewa mahakamani ?hakuna ripoti ya doctor?hakuna foresinc report kuhusiana na kesi hii,hakuna ripoti inayotuambia Kanumba alikufa kwa sababu zipi;na elewa ni muhimu jaji ajiridhie bila shaka kuwa mtuhumiwa aliuwa;ndio tatizo za mahakama zetu nazo kuendeshwa kimihemko.
Refer kwenye kesi za watu ambao walimuweka mtu kibao akaanguka na akafa itakupa jibu, maana yake hakuna jeraha ila katika ugonvi ndio likatoke
 
Ha ha huyu dogo aliponzwa na upeo mdogo wa kuona mbali;alitakiwa amalizane na mama Kanumba na angemfanya shahid upande wake amfagilie jinsi alivyo raiamwema baada ya kufa Kanumba nk ila akampotezea yule mama akadhani utawala utabaki wa Jk tu;Kitendo cha mama Kanumba kuja mahakamani na chenyewe kina influence kwenye hukumu
hapana.Ishu ni ukweli.alipaswa kustick kwenye ukweli.alivyotwist story hivi karibuni alafu kashindwa kuipangilia ndio kutam cost
 
Hapo ndiyo jury washamtia hatiani bado sentencing tu?
upload_2017-10-26_11-22-22.png
upload_2017-10-26_11-22-22.png

https://www.google.com/url?sa=t&rct...n/adhabu.pdf&usg=AOvVaw0kdERxc7BY1Q8pje6Wj5an
 
Aliyekuambia Kanumba alikufa kwa kipigo nani? Alikufa kwa kuanguka na kupata concussion.
khaaa..katika mazingira gani? nini kilikuwa kinaendelea kupelekea kuanguka na kupata concussion?? hayo ndio mazingira yanayoongelewa "kuua bila kukusudia""
 
Back
Top Bottom